Vita baridi ya chanjo za Covid 19 imeanza

Inshort naona Bill Gates anapaswa afe haraka iwezekanavyo coz usalama wa maisha ya wengi (hasa nchi za third world) unahatarishwa zaidi na pesa zake(yaan anaicontrol dunia anavyotaka kama mungu mtu)

Nadhani dunia itakuwa salama zaidi baada ya huyu tajiri kufukiwa nchi 6 ardhini, hatuwezi kupoteza raia Billion 2 kwasababu ya mtu mmoja
Mkuu Bill Gate kwa sasa huwa haingii yeye kama yeye maabara bali hutumia pesa yake kukusanya wanabailogia waliobobea nchi mbalimbali kisha kuwapa idea au yeye huomba wazo kwao kisha wanaingia mzigoni na ukifatilia vinasaba vingi anavyovifanya kwa masiku ya hivi karibuni ni vile ambavyo hukuti vikisemwa kama yeye ni creator bali huwa ni msimamizi kama vile mbegu za mazao za kisasa ambazo ukipanda mazao yake huwezi kuzifanya mbegu hadi ukanunue tena kwake na huu ni utumwa ikitokea atakupa masharti (Nakumbuka mwaka jana walikuja kufanya tafiti hapa nchini mzee mkuu akawapiga stop)
pia mradi wake wa kuku wa SASSO ambao vifaranga hutoka kwake hata uwe na majike na majogoo buku utakula mayai baaaas.
POINT YA MSINGI
hata akifa Bill Gate kuna watu watafuata nyayo zake na sisi kwa njaa zetu tutazolewa ile Mungu hapendi
kinachotuponza ni kupokea majambo kabla ya kuyatafiti Adv & Disadv na hili ndilo walilotoboa weupe tumevamia utandawazimu wakati wenyewe wanao utandawazi
Mfano mdogo ni kuwa bidhaa yoyote ulaya haiwezi kusambazwa kwa raia kabla ya kuitisha press conference ya wataalam wa kada nyinginezo na unatumia sehemu hiyo kuitangaza kisha wataalam wengine wanaifatilia na hubainisha faida na hasara zake kisha serikali za nchi husika hupima kile kilichosemwa na wataalam wa kada husika.
huku kwetu hayo mambo hatunayo na ndio maana tumegeuzwa uwanja wa majaribio leo hii ziko wapi dawa za Quinine, Dawa mseto zile za mwanzo n. k Ambazo imefahamikwa mbeleeeeni kuwa zilikuja kufanyiwa tafiti kwa maana ukitaja hizo dawa ulaya watakushangaaa maana hazikuwahi tumika kule
 
Nimekupata vyema chief niungane na wewe kwenye kumuogopa Muamerika kwa mbinu nyingi chafu kwa rungu la technology analolitumia kwa sasa baada ya kuona kwenye propaganda anafeli kwa nchi nyinyi hususan za Asia na Ulaya na palipobaki kumbaini ni Africa pekee binafsi naamini mchina mnyonyaji ila si kwa mbinu ya kumwaga damu wengi km afanyavyo Marekani

Ukichunguza kwa umakini hata Wachina si wanyonyaji au wezi kivile - wabaya wa kontinent la Afrika ni maafisa na viongozi katika Serikali nyingi za Afrika hao ndio ushirikiana na Wachina kupiga hela ndefu kwenye nchi husika, niliwahi kuwasikia Wachina wakilalamika kwamba project nyingi uingiliwa na maafisa Setikalini ambao iwashawishi wachina waongeze sufuri nyingi kwenye mikataba baadae waje kugawana cha juu na maafisa husiki - ujanja huu unatumiwa saaana, mwingine Wachina uoungukiwa fedha za kukamirisha miradi kutokana na tatizo tajwa hapo juu, tukija wizi wa utoroshaji magogo ya miti na mali asili nyingine Wachina ushirikiana na waswahili wenzetu kwa asili mia mia, Wachina hawana ubavu wa kutorosha mali asili za Taifa letu bila ya kushirikiana na maafisa Serikalini, tunapo walahumu Wachina tulikumbuke sana hilo.
 
Ukichunguza kwa umakini hata Wachina si wanyonyaji au wezi kivile - wabaya wa kontinent la Afrika ni maafisa na viongozi katika Serikali nyingi za Afrika hao ndio ushirikiana na Wachina kupiga hela ndefu kwenye nchi husika, niliwahi kuwasikia Wachina wakilalamika kwamba project nyingi uingiliwa na maafisa Setikalini ambao iwashawishi wachina waongeze sufuri nyingi kwenye mikataba baadae waje kugawana cha juu na maafisa husiki - ujanja huu unatumiwa saaana, mwingine Wachina uoungukiwa fedha za kukamirisha miradi kutokana na tatizo tajwa hapo juu, tukija wizi wa utoroshaji magogo ya miti na mali asili nyingine Wachina ushirikiana na waswahili wenzetu kwa asili mia mia, Wachina hawana ubavu wa kutorosha mali asili za Taifa letu bila ya kushirikiana na maafisa Serikalini, tunapo walahumu Wachina tulikumbuke sana hilo.
Umenifanya nimkumbuke Malkia wa meno ya ndovu kiukweli ilikuwa haiwezekani mzigo wote ule ukose kuhusika wazawa ila yote kwa yote lengo lao laweza fanana ila America kazidi umafia
 
Sisi waafrica si ajabu magonjwa ya mafua kwetu sio big issue sana si ajabu wengi wetu tulishaugua corona japo sio hii covid-19 lakini hatujui hili jambo linawatesa sana wazungu wanatamani wangekuwa waafrica ngozi nyeusi mungu aliipendelea.
Sisi tutaendelea kujifukiza tu wacha wahangaike
 
Mi nasubiri iliyotengenezwa tanzania

Wakenya kujitia kimbele mbele, ndio walikuwa wa kwanza barani Afrika kukubali kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford (kutoka Uingereza) yaani ndio walikuwa ni binadamu wa kwanza kufanyiwa majaribio baada ya chanjo hizo kujaribiwa kwa sokwe mtu huko Uingereza!!

Hakuna aliye juwa chanjo hizo zingeleta madhara gani kwa binadamu - lakini cha ajabu ni kwamba mataifa mengine yaliyo kubali kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford hivi sasa ndio yamegundulika yamekumbwa na ina mpya ya COVID-19 mfano wa Mataifa hayo ni: Afrika Kusini, Brazil na Kenya (Wakenya wanadai variat ya COVID-19 imegundulika huko TAVETA ie mpakani mwa Tanzania na Kenya!!) - hii inaleta picha gani?

Kuna chapisho fulani niliwahi kulisoma likielezea jinsi baadhi ya wa Australia walivyo ambukizwa ukimwi baada ya kudungwa chanjo za Oxford na washiriki wake, utafiti wa chanjo hizo ni trial and error tu - mara watumie passive corona viruses zilizo ongezewa DNA za virus vya ukimwi, mara DNA za protozoa wa malaria kesho uwezi juwa watatumia kitu gani - wanafanya mambo kama ma Alchemist wa enzi hizo, walio amini kwamba wangeweza kubadiri base metal into Gold, majaribio hayo ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom