Vita baridi ya chanjo za Covid 19 imeanza

"Vita baridi" ya chanjo za Covid 19 imeanza:

1. Uingereza wana chanjo ya kwao.

2. Marekani wana chanjo ya kwao.

3. Urusi wana chanjo ya kwao.

4. Uchina wana chanjo ya kwao:

5. India (yenye watu zaidi ya bilioni, imesema itanunua kwa Mwingereza (ambao ni ushindi au zawadi ya kwanza tangu wajitoe Umoja wa Ulaya).

6. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeamua kwenda upande wa Marekani "kwa ajili ya chanjo kwa nchi masikini".

7. Washawishi (lobbyists) wataanza kuzisumbua nchi masikini ktk kupigania soko hili jipya.

#YanguMacho
Wewe Una tabia za kitanzania halisi ambazo ni kujenga hoja zisizo na mashiko!
 
Hivi kwa nini chanjo zipatikane kwa nyakati zinazoshabihiana mbona haijaanza kugunduliwa na nchi moja kisha zikafata nyinginezo au kuna rafu tunachezewa mashabiki....?
COVID 19 ni game la biashara.
 
Sie Africa jamani bado tu nakula tunda kimasihara ama kazi yetu tunafuta namna ya kuongeza nguvu za kiume mana ndio concern yetu kubwa sana.
Hii ni laana ama mfumo Wa elimu waliotupatia sio rafiki kutufanya tuwe watumwa kwao.
Yaani wasomi wote ma prof wanashindwa kutengeneza kirusi na kukisambaza kwa wazungu afu tuwazie dawa jamani.
Na India soon watakuwa na dawa yao kirusi Kingine kikija.
Prof anapewa uwaziri anatulia mana huku elimu hailipi vizuri pia na tafiti zao hazina manufaa mana nchi zetu kazi ni kuhonga mahawara mpaka ghorofa hotel kabisa tena kiongozi mkubwa Wa nchi kwa kodi za wananchi wake.
Africa must wake up.
 
Back
Top Bottom