Sio kweliUingeleza na EU tayari wamethibitisha ya USA
wakigundua Chanjo ya ukimwi maana yake wafunge biashara mbili ya ARV na CondomMkuu vipi swala ya chanjo ya UKIMWI ? Au UKIMWI wameamua kufanya biashara ya Dawa pekee hadi mwisho wa Dunia.
Argentina wamechukua ya UrusiMwisho wa siku USA atawin ila watakubaliana kugawana masoko Kama wakivyofanya siku zote tangu enzi zile za kusanyiko la Berlin
Kuna signal zimetoka proxima centauri nyota ambayo ipo karibu na mfumo wetu wa jua.Binadamu tunahitaji tishio litakalotukumbusha kuwa ss ni binadamu na kutuunganisha. Nafikiri tukipata tishio la allien kutuvamia tutaachana na haya mambo ya mipaka na vita vya uchumi.
Covid ni biashara.
Mambo ya Andry Rajoelina wa Madagascar yaliishaje vile?How about na sisi africa tuunganishe watafiti na madaktari wetu then tutengeneze chanjo yetu.
Au wote walikariri kugawa panado?
Una link ya hiyo document unipe mkuu?Kuna signal zimetoka proxima centuri nyota ambayo ipo karibu na mfumo wetu wa jua.
wanahisi hizo signal zimetoka karibu na sayari moja wapo katika mfumo wa nyota hiyo.
Wanahisi kutakuwa na uhai katika hiyo sayari hivyo aliens wametupa ujumbe kuwa wapo hapo.
Ila bado uchunguzi wa hizo signals haujakamilika.
Labda tutegemee alien invasion kama hawana nia njema ila africa hatutafanya chochote sababu tupo nyuma kwenye kila kitu.
Hapana ila search YouTube proxima centauri signal the utapata hizo video.Una link ya hiyo document unipe mkuu?
Ndio maana kutakuwa na ugeni mkubwa sana nchini unakuja kutafuta soko hata kwa mkopo"Vita baridi" ya chanjo za Covid 19 imeanza:
1. Uingereza wana chanjo ya kwao.
2. Marekani wana chanjo ya kwao.
3. Urusi wana chanjo ya kwao.
4. Uchina wana chanjo ya kwao:
5. India (yenye watu zaidi ya bilioni, imesema itanunua kwa Mwingereza (ambao ni ushindi au zawadi ya kwanza tangu wajitoe Umoja wa Ulaya).
6. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeamua kwenda upande wa Marekani "kwa ajili ya chanjo kwa nchi masikini".
7. Washawishi (lobbyists) wataanza kuzisumbua nchi masikini ktk kupigania soko hili jipya.
#YanguMacho
Chanjo ya Uingereza inataka joto la fridge ya kawaida tu.Hapa kuna biashara za aina mbili.
Moja, ni kutaka kuisimamisha dunia katika mantiki ya kiuongozi.
Pili, Mapato kutoka afrika ambako mwanzo walijua hawa watakufa kama utitiri na ndiyo maana baada ya kuona covid19 imechemka afrika mmeletewa new virus ambao wanasema hawa wanajibadirisha kulingana na matumizi ya dawa na hali ya hewa.
Hapo ndipo ushindani wa soko la hizo dawa utakapokuwepo, yule ambaye dawa yake itakuwa na soko afrika ni ile itakayoendana na mazingira ya afrika.
Mmesikia kuwa dawa hizo zinahitaji ubaridi wenye nyuzi joto kubwa ili isipotete nguvu.
Yangu macho na masikio.
Sisi tuendelea na kufukiza au nasema uongo ndugu zangu!!"Vita baridi" ya chanjo za Covid 19 imeanza:
1. Uingereza wana chanjo ya kwao.
2. Marekani wana chanjo ya kwao.
3. Urusi wana chanjo ya kwao.
4. Uchina wana chanjo ya kwao:
5. India (yenye watu zaidi ya bilioni, imesema itanunua kwa Mwingereza (ambao ni ushindi au zawadi ya kwanza tangu wajitoe Umoja wa Ulaya).
6. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeamua kwenda upande wa Marekani "kwa ajili ya chanjo kwa nchi masikini".
7. Washawishi (lobbyists) wataanza kuzisumbua nchi masikini ktk kupigania soko hili jipya.
#YanguMacho