Haioneshi chochote mkuu.View attachment 3533941
Imenivutia sana aisee, kwahiyo ndio hawa hawa au ?
Haioneshi chochote mkuu.View attachment 3533941
Imenivutia sana aisee, kwahiyo ndio hawa hawa au ?
View attachment 3533408
Kigali Genocide Memorial
Umeambiwa safari inaanzia Mwanza to Rwanda sio mlandizi..Hujanielewa! Mimi naona kama hicho kiasi ni kidogo ina mimi nitoke Mlandizi hadi Kigali kwenda na kurudi bado kuna mizururo mingi huko Rwanda kwa kiasi hicho? Ndo maaana nawaza labda min -me anaongezea panapopelea.
Wee nawe kama huna hela ya nauli sema tukuchangie..!!Naona matapeli mnateteana !?
Sio kwamba nakuharibia biashara ila Rwanda ni kama hakuna life. People are soulless. Clubs hazina madem usiku. The worst nightlife and day activities in all cities. Mara mia uwapeleke watu Nairobi(wateja wa uchumi wa juu) au Kampala(wateja wa uchumi wa chini)View attachment 3532841
🌍 TUNARUDI TENA RWANDA 2026 🇷🇼
Kama ulikosa 2026, basi usipange kukosa tena!
Tunakupeleka kwenye safari ya kipekee ya Rwanda kuanzia
📅 Tarehe 4 hadi 7 Mwezi wa 4 (Aprili)
🔔 Fanya booking mapema ili kuepuka kukosa nafasi, kwani nafasi ni chache na mahitaji ni makubwa.
💰 Gharama: Tsh 390,000/= kwa mtu
📍 Kutokea Mwanza
💼 Gharama hii itahusisha:
✔️ Usafiri wa kwenda na kurudi
✔️ Hotel (malazi bora)
✔️ Breakfast
✔️ Guide fees
✔️ Entrance fees kwenye vivutio
✔️ Safari iliyoandaliwa kwa ratiba nzuri na ya kufurahia
✨ Kwa nini uchague sisi?
👉 Sisi ni Visit Lake Zone,
👉 Tunaandaa tour za kiwango cha juu
👉 Kwa gharama nafuu sana
👉 Huduma bora, usalama na experience ya kukumbukwa
📌 Hii ni safari ya burudani, mapumziko na kujifunza —
usipange kukosa!
📞 Wasiliana nasi sasa kwa booking na maelezo zaidi
Nafasi zikijaa, safari imejaa!
Mangi seran itabidi kwenye hiyo tour akupe hata shavu ushike 😹😹😹Hiyo imeisha bwashee, sema huyo ni bibie
Haha kwa niniMangi seran itabidi kwenye hiyo tour akupe hata shavu ushike 😹😹😹
This is not my business, hatuendi kwaajili ya clubs na madem.. and ninatafuta watu wakujoin group letu tunasafiri sehemu nyingi, hii safari tumeshaenda last year watu wameipenda na wanataka irudiwe na haiwezi kughairrishwa tukitoka hii tunaingia dubai in Mombasa!Sio kwamba nakuharibia biashara ila Rwanda ni kama hakuna life. People are soulless. Clubs hazina madem usiku. The worst nightlife and day activities in all cities. Mara mia uwapeleke watu Nairobi(wateja wa uchumi wa juu) au Kampala(wateja wa uchumi wa chini)
Aww thanks so much girl am so glad u enjoyed ur solo trip🥰Kila la heri on your trip, mimi nilifanya Solo trip. Nilifurahia sana Kigali.
View attachment 3534024
Mtu mwenye pesa hanaga negative mindset za kishamba hizi, achana nao babes😌Umeambiwa safari inaanzia Mwanza to Rwanda sio mlandizi..
Huko mlandizi toka kwa nauli yako binafsi ufike hadi Mwanza.
Halafu kwanini kila kitu mnahisi watu wanataka kuwatapeli? Mbona Seran maelezo yake yanaeleweka..!! Hebu acheni negativity zenu!!
Sina hela nichangieniWee nawe kama huna hela ya nauli sema tukuchangie..!!
Acha kuvuruga biashara za watu.
Roho mbaya mpaka kwa wanawake, mlitaka wajiuze?
Unajitahidi kumpambania 😹Haha kwa nini
Mpe bana, ushalijua babes 😹Na tukijiuza wanaanzisha nyuzi mia kuharibu biashara😂
Kivip tena wakati tayari yupo kwenye himaya?Unajitahidi kumpambania 😹