kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,882
- 3,517
Tupia kisa chako kilichokua kinakuudhi kipindi upo high school
Cha kwangu kilichokua kinaniudhi ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf Feza schools, Tabora boys , Tosamaganga, Minaki n.k
Tabia hiyo ilikua inaniudhi Sana ingawa nilikuwa vizuri kimasomo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kwangu kilichokua kinaniudhi ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf Feza schools, Tabora boys , Tosamaganga, Minaki n.k
Tabia hiyo ilikua inaniudhi Sana ingawa nilikuwa vizuri kimasomo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app