Hatari sana hii Uzi kauachia njianiHuyu jamaa kimeo, Hayo matukio anayosimulia ni ya kufikirika. Ni uzushi tu anzia tukio la ziwani kumtosa mwenzao na kukamatwa na kuteswa na watu wasiojulikana kongo. Uzushi mtupu.
Huu uzi huyu Chizi Maarifa ndio kauacha alishajua wamemshtukia
Wakina lwanda magere walianza hivi hivi..wakaona wanyonge tunafaidi ...wakaamishia uzi Kama was hivi huko telegram sijui imekuaje huko naona wamerudi na majarida huku kwa Wana jamii tununue story...
Tapeli wacha kuchezea akili za watu, hii story yako ume-copy somewhere, baada ya kujua umeshtukiwa ndio maana umepotea, unazuga unaumwa at the same time unaanzisha thread nyingine kuhusu Corona, kama unaumwa kweli hiyo thread ya Corona uliandikiwa na nani?Why mnifuate PM kunitukana as if nimetumia pesa zenu? Natumia simu yangu,najiwekea bundle,natumia muda wangu. Sijaomba anything from yu. Still watu wanakuja andika texts za hovyo kwangu. Its just ok hamna shida.
mkuu huyo hataki tu kukbali ukweli ujiji kupo kishamba kutokana na wafia dini na ushirikina, Mwanga kumeendelea zaidiNimezungumzia ujiji sijazungumzia kigoma kuna sehemu inaitwa mwanga, bangwe na nyinginezo
Kuna jamaa anatokea huko siku moja aliniambia ili ujiji kuendelee zinahitajika bar na guest zifunguliwe lakini wazee wa huko hawataki , si ruhusa kufungua biashara hizo.mkuu huyo hataki tu kukbali ukweli ujiji kupo kishamba kutokana na wafia dini na ushirikina, Mwanga kumeendelea zaidi
true mkuu nilienda kikazi kule baa na gesti zipo mwanga kukle ujiji unafanya kazi kutwa kupumzika ni mwanga, mwenyeji mmoja alituambia kuna mtu alifungua baa akakomaliwa mpaka akaifungaKuna jamaa anatokea huko siku moja aliniambia ili ujiji kuendelee zinahitajika bar na guest zifunguliwe lakini wazee wa huko hawataki , si ruhusa kufungua biashara hizo.
Wewe kinakuuma nini wacha tupigae tu ,pesa zi zakwetu nduguMNAHAMISHIWA TELEGRAM SASA HIVI MKAPIGWE BUKUBUKU.
KULE LWANDA NASIKIA KAMALIZA STORY KWA HIYO WANATAFUTA WA KUWAPA STORY NYINGINE.....
Soma story uelewe usikurupuke kenge wewe ujue mnakela Sana na miswali ya kipumbavuWengine wako wapi?
Ziwani kwenye mtumbwi/boti mlikuwa kama saba sasa unaleta story za watu 3 tu.
How?
Wasikupotezee mda wako hapa twende Telegram ukaungane na Lwanda kule ni full rahaWhy mnifuate PM kunitukana as if nimetumia pesa zenu? Natumia simu yangu,najiwekea bundle,natumia muda wangu. Sijaomba anything from yu. Still watu wanakuja andika texts za hovyo kwangu. Its just ok hamna shida.
Wewe kichaa unayeumwa sonona hebu tulia. Si wote ni wehu kama weweSoma story uelewe usikurupuke kenge wewe ujue mnakela Sana na miswali ya kipumbavu
. Rafiki watu wanazingua. Asa Chizi maarifa hajawahi kutuacha salamaRafiki vile umechoka kusubiria part 4!
View attachment 1689888
Ila uzi umekua kama comedy ivi. Chizi Maarifa katuacha tunajibizana wenyewe kwa wenyeweRafiki vile umechoka kusubiria part 4!
View attachment 1689888