Visa hivi ni vya kuvipa muda

Visa hivi ni vya kuvipa muda

Nimetoka kuangalia hy movie ya MARA, 😂 kilichonichekesha ni majina ya huyo demon kulingana na eneo husika 👇

Screenshot_20241012-134737.png


Screenshot_20241012-134750.png
 
Nilipumzika kidogo baada ya mambo ya vpn kuwa kikwazo. Watu wengi wakawa wanashindwa kuacess telegram.
Sawa mkuu.
Utatutaarifu basi ukiwa uko tayari kule 🫠 maana tunapata nondo balaaaaaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom