Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Nimekata kauli safari hii naacha, huu uzi umenipa moyo kuwa inawezekana. Jana ndio nimekunywa kwa mara ya mwish mkuu. Imenitia hasara sana
Mi nimeamka bado nimewaka yan huyu alienilogea pombe alaaniwe
 
Kidogo tufanane mkuu pombe zilinitesa Sana,Kuna kipindi nilipiga valeur kubwa moja na vant ndogo na virikuu viwili!
Halafu asubuhi Nina kazi ya kupokea watalii nilijikuta asubuhi nimelala chini kwenye tiles milango ipo wazi,redio full mziki,taa zinawaka,Sina hata Mia mfukoni na simu

Uzuri geto hapakuibiwa chochote manake ninafuga mbwa wakali

Sijadhurika popote,sikumbuki nilifikaje Niko hangover hatari,tumbo linakwangua balaa,siwezi hata kushika glass ya maji

Nilivyokuwa fala nikajikokota mpaka dukani kwa mangi anipe kvant nizimue niende job!

Hapo ndio niliharibu!!
Nilivyozimua ile vant nilidata mazima [emoji1787]

Kilichoniokoa mule ndani ni juice za machungwa na tangawizi

Nililala geto sio chini ya siku 3 nikaapa sinywi tena

Ila haikupita mwezi nikalisapraiz ini tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu wakiona walevi wanakuwa hawajui changamoto wanazapitia na jinsi wanavyojitahidi kuacha. Niliwahi kwenda kwa mganga miaka mingi iliyopita dawa niliyopewa nashindwa hata kuisema nilikaa miezi mitatu tu nikarudi. Naamini nitaicha jumla
Wengi wanaamini walevi wanafurahia hali hiyo
 
Nawapa mkasa mwingine wa pombe, nikiwa peke yangu familia wameenda likizo ya christmas, nilikunywa pombe siku tatu bila kula ndani namtuma bodaboda tu, wife anapiga simu nashindwa hata kuichukua kwenye sofa nimelala chini kwa carpeti, anamtuma mtu hata sijafunga mlango hali mbaya hatari kuamka siwezi, nikabebwa siku tatu hospital nimewekewa drip natetemeka kama simu iko vibration. Nilipotoka nikaenda kuchukua k-vant ndogo kuweka mwili sawa. Si mikasa ya kufurahisha lakini naikumbuka sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe unahitaji tuzo
 
Kidogo tufanane mkuu pombe zilinitesa Sana,Kuna kipindi nilipiga valeur kubwa moja na vant ndogo na virikuu viwili!
Halafu asubuhi Nina kazi ya kupokea watalii nilijikuta asubuhi nimelala chini kwenye tiles milango ipo wazi,redio full mziki,taa zinawaka,Sina hata Mia mfukoni na simu

Uzuri geto hapakuibiwa chochote manake ninafuga mbwa wakali

Sijadhurika popote,sikumbuki nilifikaje Niko hangover hatari,tumbo linakwangua balaa,siwezi hata kushika glass ya maji

Nilivyokuwa fala nikajikokota mpaka dukani kwa mangi anipe kvant nizimue niende job!

Hapo ndio niliharibu!!
Nilivyozimua ile vant nilidata mazima [emoji1787]

Kilichoniokoa mule ndani ni juice za machungwa na tangawizi

Nililala geto sio chini ya siku 3 nikaapa sinywi tena

Ila haikupita mwezi nikalisapraiz ini tena
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hatari sana kwa afya yako watakuja wakufire siku nyingine
 
Nawapa mkasa mwingine wa pombe, nikiwa peke yangu familia wameenda likizo ya christmas, nilikunywa pombe siku tatu bila kula ndani namtuma bodaboda tu, wife anapiga simu nashindwa hata kuichukua kwenye sofa nimelala chini kwa carpeti, anamtuma mtu hata sijafunga mlango hali mbaya hatari kuamka siwezi, nikabebwa siku tatu hospital nimewekewa drip natetemeka kama simu iko vibration. Nilipotoka nikaenda kuchukua k-vant ndogo kuweka mwili sawa. Si mikasa ya kufurahisha lakini naikumbuka sana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila we jamaa
 
Kuna watu wakiona walevi wanakuwa hawajui changamoto wanazapitia na jinsi wanavyojitahidi kuacha. Niliwahi kwenda kwa mganga miaka mingi iliyopita dawa niliyopewa nashindwa hata kuisema nilikaa miezi mitatu tu nikarudi. Naamini nitaicha jumla
Kuna mtu alipewa dawa na mganga akaambiwa akirudia pombe hata funda moja tu anakufa. Sasa hivi yupo tu hata akitaka kunywa hawezi anaogopa kufa
 
wewe sidhani kama utaacha
Safari hii nimeamua
Kuna mtu alipewa dawa na mganga akaambiwa akirudia pombe hata funda moja tu anakufa. Sasa hivi yupo tu hata akitaka kunywa hawezi anaogopa kufa
Nilitoa kisa cha kupewa dawa moja na mganga ila sikuhitaja na vitisho juu kuwa nitakufa, nilikaa miezi mitatu hadi ikawa ndo habari kwa waliokuwa wananifahamu, yaani hawaamini kama nakunywa Grand Malta na Koka tu.

Nikarudia tena pombe baada ya miezi mitatu safari hii kwa spidi mara mbili zaidi
 
Safari hii nimeamua

Nilitoa kisa cha kupewa dawa moja na mganga ila sikuhitaja na vitisho juu kuwa nitakufa, nilikaa miezi mitatu hadi ikawa ndo habari kwa waliokuwa wananifahamu, yaani hawaamini kama nakunywa Grand Malta na Koka tu. Nikarudia tena pombe baada ya miezi mitatu safari hii kwa spidi mara mbili zaidi
Duuh
 
oi oi
hii ilikuwa miaka michache imepita "sijaonaga zaidi yangu na wewe" huu wimbo ukiwa unakimbiza.
lkn mimi mzee wa hardcore kimoyo moyo najipa imani na zile swaga za nako2nako "napokanyaga napaona"

shamra shamra za xmas kama sikosei, siku ya pili ikiwa ndio 25/12 nilikuwa nimepoteana, nipo kitandani sina ujanja.

nililewa kiasi cha kushindwa kutembea vema lkn wadau niliokuwa nao niliomba msaada nipandishwe tu kwenye gari hamna shida nitaendesha na home nikafika salama.
ule ubishi utapata matatizo, oyaaa usichujulie poa napokanyaga napaona.[emoji16][emoji16][emoji16]

sijawahi kunywa tena pombe za hivyo
 
Back
Top Bottom