Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Wacha1 analeta ligi isiyo na kombe.
Nilikuwa bongo mkuu chacha kama hupendi shauri yako nyie wadanganyeni watu hapa watakwenda na makadi yao watatoka kapa. Tena bongo siku hizi imebadilika kuna ATM zinazokupatia mpunga in US dollars kama unapenda na nyingine madafu.
Nilikwenda kwenye mashine moja nikagonga nusu laki ya kibongo kumbe inatoa US dollars ikabidi igome nikacheck tena ndio nikagundua. Kama hutaki pressure nenda Barclays.