Simbanking Vs ATM card charges wakati wa ku-withdraw

Simbanking Vs ATM card charges wakati wa ku-withdraw

Rweyemam105

Senior Member
Joined
Sep 8, 2012
Posts
100
Reaction score
138
Hallo wana JF.

Mimi ni mteja wa CRDB BANK, nimekuwa nikitumia TemboCard yao for years. Siku moja card yangu ikagoma kufanyakazi. Nilipoenda ku-report, wakaniambia kuwa chip ya card imeharibika, huenda ikawa imesababishwa na kuiweka kwenye wallet. Wakaniambia for the time being naweza kutumia Simbanking kwenye (ATM/Cardless) kutoa hela.

Naomba kujua kama charges za kutoa kwa ATM CARD ni sawa sawa na Ukitumia Simbanking.

Thanks.
 
Kwa akili tu ya kawaida haziwezi kuwa sawa mkuu.
Kwanza ili utumie simbanking ni lazima uwe na bundle au Salio la kawaida hapo tayari gharama inakua kubwa.
 
Simbanking ni rahisi ila ni gharama zaidi kuliko Atm
 
Hallo wana JF.

Mimi ni mteja wa CRDB BANK, nimekuwa nikitumia TemboCard yao for years. Siku moja card yangu ikagoma kufanyakazi. Nilipoenda ku-report, wakaniambia kuwa chip ya card imeharibika, huenda ikawa imesababishwa na kuiweka kwenye wallet. Wakaniambia for the time being naweza kutumia Simbanking kwenye (ATM/Cardless) kutoa hela.

Naomba kujua kama charges za kutoa kwa ATM CARD ni sawa sawa na Ukitumia Simbanking.

Thanks.
Usirogwe
 
Acha uongo Mimi NILIWAHI mtumoa MTU 20k Kwa nmb mkononi nikakatwa 10000 kasoro
Kaka nimesema kutoa fedha ATM(kwa kadi au bila kadi) sio wakala , bila kadi inamaana unagenerate code, utaweka namba ya simu na kiasi unatoa hela yako..

Ni sawa na ile huduma ya RFI ya kuscan kadi bila kuidumbukiza kwwnye ile slot yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom