Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Sihitaji kutumia vipodozi vya VS. Majuu kwanza wala si big deal kihivyo.
Na Kisura wangu hatumii yaho madudu ya bei rahisi. Anatumia L'Occitane (huwezi hata kulitamka wewe na wala vumbi wenzio)
Siku zote makuli huwa wanatumia pesa zao vibaya.