Vipodozi vya Victoria's Secret

Vipodozi vya Victoria's Secret

Rule number uno, don't let nobody know how much dough you own ... cos the cheddar brings jealousy....... -Biggie Smalls, Ten crack commandments.

Usijue faida yangu na sitaki nijue faida yako. Thats how it goes.

Salute u..........pamoja sana
 
Rule number uno, don't let nobody know how much dough you own ... cos the cheddar brings jealousy....... -Biggie Smalls, Ten crack commandments.

Usijue faida yangu na sitaki nijue faida yako. Thats how it goes.

Hiyo umeimodify kidogo Mkuu, inaishia pale kwenye usijue faida yangu!
Rule number 3: Never open the package - Frank The Transporter
 
ONANA NA Caroline Denzi yeye atakusaidia bestito kuvipata

au kama utakuja dar nitakupeleka maduka yote H.S AMON kule waweza pata
kwani yeye huwaga anatoa nje ya nchi

Habari za jioni mabibi na mababu wa jukwaa hili.........

Nauliza wapi ninaweza kupata Vipodozi vya Victoria's Secret kwa bei ya jumla kwa Dar Es Salaam.

Na je nje ya nchi huwa vinapatikana wapi mwenye kujua ama mwenye uzoefu navyo tafadhali anijulishe.

Wasalaam CL
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni mabibi na mababu wa jukwaa hili.........

Nauliza wapi ninaweza kupata Vipodozi vya Victoria's Secret kwa bei ya jumla kwa Dar Es Salaam.

Na je nje ya nchi huwa vinapatikana wapi mwenye kujua ama mwenye uzoefu navyo tafadhali anijulishe.

Wasalaam CL
Bei yangu ni 20,000/- mpaka mlangoni.
Authentic victoria secrets (with certificate of authenticity) mists, body cremes na lotions.
Mists ni 8.4 oz na lotions pia. Cremes ni 3.4oz unaweza pata ya tube au 2.5 oz ya kopo.
Lines utazopata ni love spell, pure seduction, amber romance, vanilla lace ,new passion etc ...
Lines maarufu hapo ni love spell, amber romance na pure seduction ila inategemea na mtu.
Kama una million unapata 50 pieces mlangoni. Chagua idadi ya aina mbalimbali (your own mix).
If you can handle that, holla at me!
 
Back
Top Bottom