Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
4,131
Reaction score
6,140
Hali ya mvua katika Jiji la Dar na mkoa wa Pwani toka jana jioni mvua inanyesha bila ya kukatika.

Vipi hali ya mvua hapo ulipo mdau wa JF?
 
Kiluvya dsm unapajua ? Tumelala nayo tumeamka nayo ,aridhi imejaa maji Ni tope balaa
 
Mitaa ya Ubungo UDSM Mlimani City mvua mdogo mdogo tokea jana usiku hadi sahivi saa 2 kasoro.

Tunaomba mtejesho kama Mwendokasi inavuka pale jangwani au tulale tu nyumbani.
 
Hali ni mbaya, hii mvua tunaipenda lkn sasa imezidi, nikiwa fire kitu kilinyesha sijawahi kuona, watoto wanaosoma shule za hapa katikati ya mji cha moto wanakiona
 
Back
Top Bottom