Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

Hapa Yombo machimbo inapiga kama yote!
 
jamani tuwe serious kwa kupeana taarifa za ukweli.

huu uzi ni muhimu sana kwa mustakabal wa wana Dar huko barabarani.
 
JF Huwaga kuna kundi moja ambalo huwa hawajui wapi wacomment ujinga na wapi ni serious! Huu uzi ni wa Muhimu sana as ni bonge la source kupata Taarifa ya kinachoendelea.

Anyway,

Wanaotokea Goba Kupitia Makongo juu-Jeshi-Changanyikeni, Kama gari yako ya chini Pitia Massana tu, Njia sio nzuri maji yamejaa sana
 
Back
Top Bottom