Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

Vipi hali ya mvymua katika eneo ulilopo?

Huku temboni, nachungulia tu dirishani mvua inanyesha kwa speed ile ile toka saa 11 alfajiri...
Wacha nivute blanket...
 
Huku temboni, nachungulia tu dirishani mvua inanyesha kwa speed ile ile toka saa 11 alfajiri...
Wacha nivute blanket...
Hahahhaaa.
Mkuu kama una mpango wa kutoka toka tu. Ila ukibaki hom ndio unaona uzito kuanza safari.
 
Alhamdullilah,hapa Tabata Changombe mvua imechapa ile mbaya,madimbwi makubwa saana saaana tena saaana,barabara imeharibika vya kutisha.
Tunacho ogopa ni maradhi ya mlipuko,maradhi yanayoambukizwa na mbu.
Mvua ikikata tegemeeni chemchem wiki Kazaa kama ile barabara ya kwenda kwa dkt kundy na African school
 
Hapa IKULU Mtaa wa Barack Obama ndo tunaamka, tupige chai na supu ,mvua inanyesha tunamsubiri kijana wetu mpendwa Konda ashuke airport kutoka Chuga na Jeans yake yenye matobo.
Hahah umetisha man!
 
Alhamdullilah,hapa Tabata Changombe mvua imechapa ile mbaya,madimbwi makubwa saana saaana tena saaana,barabara imeharibika vya kutisha.
Tunacho ogopa ni maradhi ya mlipuko,maradhi yanayoambukizwa na mbu.
Dengue
 
hapa sinza Palestina mdogo mdogo toka jana jion mpaka sasa hv
 
Huku chanika tangu usiku hadi asubuhi hii ya saa nne bado inanyesha tena kubwa sio mchezo maji kila sehemu.
 
Huku chanika tangu usiku hadi asubuhi hii ya saa nne bado inanyesha tena kubwa sio mchezo maji kila sehemu.
Maji kila sehemu wapi mkuu nataka nije huko maana sasa hivi kuna mitaro ya maji pale chanika mwisho tofauti na kipindi cha nyuma
 
Back
Top Bottom