Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,757
nime yaona hebu angalia screen shot yangu nichekie wapi labda na kwamiaChief... Nimekupa Maelezo ya namna ya kuzipa... Umeona Maelezo yangu?
Duuuhh pole mkuu nilidhani unatumia app kwenye simu...nime yaona hebu angalia screen shot yangu nichekie wapi labda na kwamia
Episode 9 bofya hapa... Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)nime yaona vizuri tuko hapa tumechemka tuna jiuliza una tumia simu au pc, basi share a direct link mkuu tafadhali utakua umetuokoa hapa job
Episode 10 bofya hapa.. Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)nime yaona vizuri tuko hapa tumechemka tuna jiuliza una tumia simu au pc, basi share a direct link mkuu tafadhali utakua umetuokoa hapa job
Episode 11 bofya hapa Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)nime yaona vizuri tuko hapa tumechemka tuna jiuliza una tumia simu au pc, basi share a direct link mkuu tafadhali utakua umetuokoa hapa job
Baada ya hapo unatakiwa uwe unaperuzi page kwa page utakutana na Episode nyingine 12 mpaka 24nime yaona vizuri tuko hapa tumechemka tuna jiuliza una tumia simu au pc, basi share a direct link mkuu tafadhali utakua umetuokoa hapa job
hahahha watu weweeee officin hapa the bold, kumbe umbeiweka kati kati ya thread hizi sie tumezoe tuna chagua kwenye link nimeiona mkuu asante saanaBaada ya hapo unatakiwa uwe unaperuzi page kwa page utakutana na Episode nyingine 12 mpaka 24
dah asaivi nimeielewa mkuu naenda page kwa page watu wamefurahi, wamejaa kwenye meza yanguEpisode 9 bofya hapa... Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)
Cheki kwenye comments sio post ya kwanza... Yaani bofya hii link nimeweka alafu perezi huo ukurasa comment ya katikati pale utaona Episode 9
mkuu nimesha fanikisha mie jamii forum natumia kwa pc tuh simu natumia windows phone sie apps nyingi tume baguliwa saana.Duuuhh pole mkuu nilidhani unatumia app kwenye simu...
Kwa kuwa naona unatumia PC basi unapaswa uende kwenye namba ya post husika...
Unajua namna ya kutafuta comment husika?? Ukiangalia hapo nimeandika Episode 9 na kuendelea alafu mbele yake nimeweka namba??? Unafahamu unazipataje??
Pamoja chief..Shukrani mkuu
Bila shaka dada'ngu wa dhahabu... Will tag youMie umenisahau mai kaka
Hahaha!! Enjoy it mkuu...da
dah asaivi nimeielewa mkuu naenda page kwa page watu wamefurahi, wamejaa kwenye meza yangu
Lakini umenisusa mwenzako, mpe hi wiiiiiiBila shaka dada'ngu wa dhahabu... Will tag you
Wallah inabidi tuongee sista... Tumesusana sana aisee!! Jioni nakutext tuzungumze... I miss you [emoji24] [emoji24]Lakini umenisusa mwenzako, mpe hi wiiiiii
Wewe ndio umetususa Wii,umepotea hata huku huonekani jamani [emoji24] [emoji24] [emoji24]Lakini umenisusa mwenzako, mpe hi wiiiiii
Kwanza; wewe ni mtumiaji mzoefu wa JamiiForums najiuliza kwa nini umefanya ubashite wa kuquote uzi mrefu hivi ukijua fika kuwa unasababisha usumbufu kwa watumiaji wa app kwenye simu...I like the story but hiyo mdada alotobolewa kwa kifua mpaka mapafuni na bado akamanage kuendesha gari na kuattend meeting atakuwa robot!!!
Wale wa field ya afya tulosoma Anatomy and physiology mtanielewa vizuri.
Duh! Sorry brother, nimekosea.Kwanza; wewe ni mtumiaji mzoefu wa JamiiForums najiuliza kwa nini umefanya ubashite wa kuquote uzi mrefu hivi ukijua fika kuwa unasababisha usumbufu kwa watumiaji wa app kwenye simu...
Pili; unaonekana umesoma story juu juu bila kuelewa... Aliye chomwa na kipande cha mti kwenye kifua anaitwa Ilana Doria ambaye wakati gari inaondoka porini aliwekwa siti ya nyuma pamoja na bags... Aliyekuwa anendesha gari ni Giselle Jean Pierre (dada wa kinyarwanda) ambaye ndiyo muda wote walikuwa wanabishana na Ray na baadae wakasaidiana kumtibu dada wa kizungu (Ilana Daria).
Soma, elewa, Enjoy!!
Wiii acha tu siku majanga yakiisha nitakuwa na nyieWewe ndio umetususa Wii,umepotea hata huku huonekani jamani [emoji24] [emoji24] [emoji24]