Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,574
- 1,996
Noted
Mbna mimi nimeona kama utani tu jamaa ameweka? please usiende mbali huko best, si unajua chokora akikosa chakula jalalani pia anamsingizia rais [emoji23] [emoji23]Heeeeey you are going too far.
Am not bragging type of a woman ila watu kama nyie mnasababisha niwe hivyo.
Hili tuliliongelea mimi na The bold kabla ya kuleta hiyo taarifa hapa (tulilijua hili) that laiti kama mngejua ni jinsi gani naplay part kubwa ktk hii simulizi hadi mnaisoma sijui mngenishukuru kiasi gani.
Kwanza kama sio mimi wala asingeiandika,ni ushawishi & utashi wangu ndivyo vilivyopelekea The bold akakubali kuwaletea hii simulizi.
So naomba sana kabla hujaropoka (kama kuna wengine wenye mawazo kama yako) muwe mnatafakari/kuuliza kwanza.
Hivi unavyokimbilia kutoa lawama unataka nianike kila kitu hapa?Unajua ni sababu gani mtunzi ameshindwa kuwaletea episode inayofuata?
Vipi kama yuko hoi hospital?
Nimefanya kosa kuwajulisha?
Vipi ningeamua kukaa kimya kwani mngenifanya nini?
Hivi kwanini watu mnakosa ustaarabu kiasi hiki?
Am dissapointed,really dissapointed!
Na kuanzia sasa nitakuwa siwajuzi chochote.
Naona sasa ustaarab umefikia mwisho.
No,kwa hili lazima tukulaumu,toka nimeijua ISIDINGO haijawahi kukatishwa ratiba yake,unataka kusema characters wa kwenye isidingo hawaumwi!? Ni jukumu lako kuhakikisha the bold anashusha ma-episode humu kwa kufuata ratiba,whether mzima au anaumwa,ni uzembe kama mpk leo hauna password yake!Heeeeey you are going too far.
Am not bragging type of a woman ila watu kama nyie mnasababisha niwe hivyo.
Hili tuliliongelea mimi na The bold kabla ya kuleta hiyo taarifa hapa (tulilijua hili) that laiti kama mngejua ni jinsi gani naplay part kubwa ktk hii simulizi hadi mnaisoma sijui mngenishukuru kiasi gani.
Kwanza kama sio mimi wala asingeiandika,ni ushawishi & utashi wangu ndivyo vilivyopelekea The bold akakubali kuwaletea hii simulizi.
So naomba sana kabla hujaropoka (kama kuna wengine wenye mawazo kama yako) muwe mnatafakari/kuuliza kwanza.
Hivi unavyokimbilia kutoa lawama unataka nianike kila kitu hapa?Unajua ni sababu gani mtunzi ameshindwa kuwaletea episode inayofuata?
Vipi kama yuko hoi hospital?
Nimefanya kosa kuwajulisha?
Vipi ningeamua kukaa kimya kwani mngenifanya nini?
Hivi kwanini watu mnakosa ustaarabu kiasi hiki?
Am dissapointed,really dissapointed!
Na kuanzia sasa nitakuwa siwajuzi chochote.
Naona sasa ustaarab umefikia mwisho.
Aiseeeeeee0754543054
Bibie hii ya nini tena au unatuzawadia0754543054
Nikutafute kwa hiyo no.au??0754543054
Hahahaah asante sana mtaniMtani japo sio mahala pake ila kiungwana mkikutana popote kupeana pole ndio desturi zetu kwa mara nyingine pole .
Wananchi wenye hasira kali uvumilivu ushawashinda hukuuuuuu.No,kwa hili lazima tukulaumu,toka nimeijua ISIDINGO haijawahi kukatishwa ratiba yake,unataka kusema characters wa kwenye isidingo hawaumwi!? Ni jukumu lako kuhakikisha the bold anashusha ma-episode humu kwa kufuata ratiba,whether mzima au anaumwa,ni uzembe kama mpk leo hauna password yake!
Kumbe mapenz yenu sio ya kijf jf ila ni serious mkuuHeeeeey you are going too far.
Am not bragging type of a woman ila watu kama nyie mnasababisha niwe hivyo.
Hili tuliliongelea mimi na The bold kabla ya kuleta hiyo taarifa hapa (tulilijua hili) that laiti kama mngejua ni jinsi gani naplay part kubwa ktk hii simulizi hadi mnaisoma sijui mngenishukuru kiasi gani.
Kwanza kama sio mimi wala asingeiandika,ni ushawishi & utashi wangu ndivyo vilivyopelekea The bold akakubali kuwaletea hii simulizi.
So naomba sana kabla hujaropoka (kama kuna wengine wenye mawazo kama yako) muwe mnatafakari/kuuliza kwanza.
Hivi unavyokimbilia kutoa lawama unataka nianike kila kitu hapa?Unajua ni sababu gani mtunzi ameshindwa kuwaletea episode inayofuata?
Vipi kama yuko hoi hospital?
Nimefanya kosa kuwajulisha?
Vipi ningeamua kukaa kimya kwani mngenifanya nini?
Hivi kwanini watu mnakosa ustaarabu kiasi hiki?
Am dissapointed,really dissapointed!
Na kuanzia sasa nitakuwa siwajuzi chochote.
Naona sasa ustaarab umefikia mwisho.
Hahahahaa!0754543054
Watu wa mungu naoo..so km mtu anaumwa mnafanyia maombiIla Nifah kuna kitu haujakiweka sawa, japo umefanya vizuri kutufahamisha lakini unatakiwa utuambia hyo dharula ni ya kitu gani either bad news or good news ili hata kama kila mwanaboard humu akifanya maombi yalenge tatizo la muhusika moja kwa moja apate wepesi haraka, hata makanisani tunaambiwa shika unapoumwa ili uombewe,
Lakini kusema tu dharula then kimya sio fair hasa kwa watu tuliowekwa bond tangu jtano, tunasubiria hyo kitu,
[HASHTAG]#justsuggetionweithertakeitorleaveit[/HASHTAG],
Angeacha hata number moja ya mwisho halaf akatoa taarifa kua kaacha number moja ya mwisho, ingekua bonge la tafarani watu kujaribu jaribu!!!! Nawaza tuHahahahaa!
Nawaza wangapi wamesave hii no. [emoji41][emoji41][emoji41]
Hahahaa! Watu wangefanya probability..Angeacha hata number moja ya mwisho halaf akatoa taarifa kua kaacha number moja ya mwisho, ingekua bonge la tafarani watu kujaribu jaribu!!!! Nawaza tu
Najua sas iv wanavyomrukia hewan sim yake ni full bize muda wote... Ila kama ni mwanaume itakua kawaweza kweliHahahaa! Watu wangefanya probability..
0 mpaka 9
Unajaribu namba 10 tuu hadi unampata
Ila huyu ni mwanaume! Nishasanda huo mchezo..