Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Jamani The Bold huko haijafika jioni? Nimefungua uzi natetemeka. Nafikiri ni jioni tayari nilidhani nimechelewa. Kumbe ndo saa 9 na ushee kidogo. Mhh kazi itafanyika kweli wakati nasubiri kipepeo mweusi.
 
Hapa nakuunga mkono dada angu sina tatizo na wewe ila ufanye mambo yetu Msondo na Mkoleni umtoe shemeji kule M"UJANJA UJANJA FC "AJE" kwetu "MZIKI MZURI"

The bold
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu wetu kaka,kazi niachie hiyo ukiwa na amani kabisa.
Siwezi kuusokotora unyago [emoji12]
 
Raisi anampenda mke wangu ndio riwaya nzuri zaidi kutoka kwa Shigongo zilizobaki zote zikawa za kusadikika
Aiseeeee hii riwaya niliisoma nikiwa std 6,nilikuwa nalia kila siku hadi kitabu kilipoisha.
Dah Shigongo pale alituliza kichwa bwana.
 
Hivi ata mkeo anasubiri Kila jumamosi kweli au amesha fika hadi part 9 .any way usisahau kunitag stori mzuri sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nifah mkewangu njoo umjibu mwanabodi..

Nahisi kama vile wewe ushafika episode ya 7 au hua anakusimulia kabsaa kwanza then ndio anatunga[emoji23] [emoji23]
Jamani hakuna cha mke wake wala nini,kanikazia hadi mimi nimpaye usingizi.

Wallah itabidi kuanzia sasa nifanye 'mgomo' fulani,haiwezekani [emoji135]
 
Yeah,hii nayo ilikuwa kali japo nimeanza kuisahau.

Hii ndio ile ya yule bibi mchawi anamtesa mwanae aliyekataa kurithi uchawi?
Bibi yake Patrick sijui....
Hio sio Anna don't kill my childeren?
Binti ambaye mama yake mchawi na alikataa kurithi kazi ya mama.
 
Yeah,hii nayo ilikuwa kali japo nimeanza kuisahau.

Hii ndio ile ya yule bibi mchawi anamtesa mwanae aliyekataa kurithi uchawi?
Bibi yake Patrick sijui....
Nakumbukaga niliipenda ila nimeisahau kabisa mkuu...
 
Rais anampenda mke wangu... Derrick, kabula, rais gabriel. Nchi ya kusadikika ya sokomoni, goma likamove hadi madagascar huko. Wakafa kina derrick tukabaki na watoto wao, cynthia na mwanae caroline mwenye kifafa, akawa miss word akaanguka kwenye fainali, akaolewa na harry aliyekuja kugombea urais, caroline akamlipua na mabomu aliyojipandikiza.
Kitambo sanaaa enzi hizo in the earliest of 2000th
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom