Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Nami ikiwa hewa Episode 3 nitagi kwenye post hiyo. Pia moderators wanaweza kutengeze ID moja yenye mkusanyiko wa members wote wenye interest na story hii Mfano waID hiyo ni The Bold followers. Kiasi the bold akirusha Episode, ana tag wote kwa kuweka hiyo ID ya The Bold followers na wote tunaenda moja kwa moja kwenye episode kuliko njia hii ya sasa anayotumia! Niwazo langu la kusaidia tunakuwa karibu na story kwa haraka zaidi.
Aisee wazo zuri sana hili! Nimelipenda na nakubaliana nalo kwa 100%

Kama likiwa linawezekana itakuwa poa sana aisee!
 
Mkuu habari, mimi tangu nimejiunga humu nashangaa nimekuwa nafuatilia story zako za tangu zamani, hadi najuta kwa nini sikuwa nafuatilia jf ingawa nilikuwa naifahamu. Ubarikiwe kwa kipaji chako na kukutakia heri kiweze kukuletea kipato na uweze jivunia. Naomba unitag nami nipate kujua kinachoendelea toka kwako.
 
Sikuwahi kuhisi kama mashabiki wa Madale wanaweza kuandika kitu kizuri namna hii.

Nilikuwa nasoma zile makala zako za Ulaya,America na Asia nikawa nahisi zile hazina ufundi wowote zaidi ya kubadili lugha tu na kucheza maneno kutoka kwenye vyanzo vyako vya kiingereza.

Sikuwahi kukubali kwa kiwango kikubwa namna hii.

Ila kwa hii kitu nasema RASMI nimekuelewa mkuu..wewe ni mtunzi Hodari ongeza juhudi na bidii naweza kuja kukuweka kwenye list yangu pembeni ya Hussein Issa Tuwa,Beka Mfaume,George Mosenya na Sultan Tamba watunzi wangu mahiri wa kizazi hiki.

niffah

Hahahahahahahah!! Daaahh umenichekesha sana.. Mbona madale tuko vizuri tu upstairs..

Nashukuru sana kwa pongezi shem! Thank you..

Nitaendelea kushusha simulizi maridhawa ili hatimaye niwemo kwenye list ya watunzi wako bora kabisa..
 
Mkuu habari, mimi tangu nimejiunga humu nashangaa nimekuwa nafuatilia story zako za tangu zamani, hadi najuta kwa nini sikuwa nafuatilia jf ingawa nilikuwa naifahamu. Ubarikiwe kwa kipaji chako na kukutakia heri kiweze kukuletea kipato na uweze jivunia. Naomba unitag nami nipate kujua kinachoendelea toka kwako.
Pamosa sana Mkuu Festo Mwangungulu.. Shukrani

Tayari nimeongeza jina lako kwenye taglist!
 
Najisikia aibu kupata hadithi tamu hivi alafu sitoi hata shilingi kumi....
Naomba usini tag mkuu...
Ni sehemu ya burudan pale ninapoikuta kwa suprise tu...napata msisimko wa aina ake
Uko sawa mkuu.Unajua wakati nakua nilikuwa nawasoma watunzi hodari wa riwaya kama Elvis Musiba na Ben Mtobwa, sifichi nilikuwa na sisimka mno kusoma riwaya zao mardaadi.Umepita muda mrefu hatujakuwa na watunzi wazuri wa hadithi kama wale, ila kwasasa naona uelekeo wa ndugu yetu The bold wa kuturejesha kule kwa kina willy gamba, na joram kiango kwenye zama za riwaya za kusisimua.Much respect mkuu the bold, naheshimu mno kazi yako.Wale watakaokukosoa kwa lengo la kukujenga wasikilize mzee ili uboreshe kipaji ulichonacho.Ila kuna wale wanaokosoa kwa wivu tuu just tell them "go to hell"
 
Mkuu The bold please naomba niwepo kwenye tag list yako.. Nimekuwa nikisoma simuliz zako karibia zote ila na mie natamka rasmi kuwa mshabiki wako. Ahsante sans
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom