Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Najisikia aibu kupata hadithi tamu hivi alafu sitoi hata shilingi kumi....
Naomba usini tag mkuu...
Ni sehemu ya burudan pale ninapoikuta kwa suprise tu...napata msisimko wa aina ake
You guys leo mmeamua
 
Sikuwahi kuhisi kama mashabiki wa Madale wanaweza kuandika kitu kizuri namna hii.

Nilikuwa nasoma zile makala zako za Ulaya,America na Asia nikawa nahisi zile hazina ufundi wowote zaidi ya kubadili lugha tu na kucheza maneno kutoka kwenye vyanzo vyako vya kiingereza.

Sikuwahi kukubali kwa kiwango kikubwa namna hii.

Ila kwa hii kitu nasema RASMI nimekuelewa mkuu..wewe ni mtunzi Hodari ongeza juhudi na bidii naweza kuja kukuweka kwenye list yangu pembeni ya Hussein Issa Tuwa,Beka Mfaume,George Mosenya na Sultan Tamba watunzi wangu mahiri wa kizazi hiki.

niffah

Kaka yangu mpendwa mzaramo, nashukuru umeona sasa ni kwanini dada yako nimedata kwa huyu kijana.

Huenda hukunielewa mwanzo, lakini sasa majibu unayo.
Shemeji yako sio mtu wa mchezo mchezo, ni kichwa haswaaaa
 
Bonge moja la story Kiongozi(The Bold)!!!
Kama inawezekana fanya mpango wa kuitengenezea film!
Hongera kwa utunzi mzuri wa hadithi mpaka nikahisi wewe ndiyo Shigongo wa ''Rais anampenda Mke Wangu'' hahaha......
 
Kaka yangu mpendwa mzaramo, nashukuru umeona sasa ni kwanini dada yako nimedata kwa huyu kijana.

Huenda hukunielewa mwanzo, lakini sasa majibu unayo.
Shemeji yako sio mtu wa mchezo mchezo, ni kichwa haswaaaa
Hapa nakuunga mkono dada angu sina tatizo na wewe ila ufanye mambo yetu Msondo na Mkoleni umtoe shemeji kule M"UJANJA UJANJA FC "AJE" kwetu "MZIKI MZURI"

The bold
 
Bonge moja la story Kiongozi(The Bold)!!!
Kama inawezekana fanya mpango wa kuitengenezea film!
Hongera kwa utunzi mzuri wa hadithi mpaka nikahisi wewe ndiyo Shigongo wa ''Rais anampenda Mke Wangu'' hahaha......
Raisi anampenda mke wangu ndio riwaya nzuri zaidi kutoka kwa Shigongo zilizobaki zote zikawa za kusadikika
 
Mwana.unauwaa kila.episode unaniacha nakuwa na hamu ya kujua jibu episode inayofwata ila.sijui sioni.nazid jiuliza zaid

Ngoja nisubili mpk mwisho wa mambo..

Wewe mkuu.ni mkali kwaiyo mliotoka batan na cheupe huku mgegeda kisa taarifa za kifo cha wazir na simu ya mama yake hili balaa...mkosi ndan ya rahaaa

Ngoja nisubili ep3 napenda kujua uhalisia wa.baba bite na mambo kibao tuu

Pamoja kamanda
 
Ni tag epi3 ikishushwaa natumain itakuwa kabla ya muda wa bata

U knw napenda life la wapangaji wenzako kret mbili na nusu si haba
 
Nimemaliza mkuu. Ule uandishi wa makala zako ulishani'alert' kuwa una kipaji pia cha uandishi wa riwaya. Pongezi sana
 
Naona episode ya 3 itakuwa ipo kwenye foleni na traffic light hazifanyi kazi dah nimeisubiri saaana.
nimekuwa teejaaaa teja wa vipepeo weusi...hii arosto sasa
 
yes nadhani ni vizuri mods wakizipandisha pale page ya kwanza.. ila zisikae kwenye post moja.. ingekuwa vizuri post # 1 ikae episode 2, post # 2 ikae episode 2 na kuendelea..

mods tusaidieni kwenye hilo.. JamiiForums Maxence Melo Mod 1 Mod 2 Mod 3 Mod 4 Mod 5




THE BOLD NATHANI LEO NI JUMAPILI MAANA NIMEAMKA SAA KUMI NA MBILI ILI NISOME
ILA KAZI NZURI Hongeraaa
UNI TAG BASI


THANKS MAN
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom