Bold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.
Kweli aisee, ila Kama inawezekana mtu mmoja kutoka group la whatsap atutumie episode inayofuata, the bold hawez kumaindi maana aliahidi kutuma ijumaa na leo ni jpili nadhan ana dharura. Yani toka juzi nakaa sipitishi dk 5 naingia humu kuangalia update.its posible mkuu the bold ana personal problems so ni vyema tukatulia na kumsubiri, najua the bold ni muungwana atatuambia kipi kimemsibu. wale mnaotoka mapovu pelekeni povu zenu jangwani.
Mkuu vipi tena maneno henye ukakasi??? Povu lako la OMO au sabuni ya magadi?Bold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.
The bold ni mzima wa afya,ila alipata tatizo fulani la device yake.
Atakuwa hapa baadae,ondoeni shaka.
Asante
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watu wachokozi jamaniiiiii! Kujificha kote huko?Mtani pole kwa kipigo, hivi The bold ni Yanga kama wewe?
Karibu.Shukran sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watu wachokozi jamaniiiiii! Kujificha kote huko?
Yeye ni shabiki wa Yanga zamani eti,sasa hivi hana timu.
Ila namshukuru kwa kunifariji uwanjani jumamosi [emoji24]
Asante mtani,hongereni bwana.
Asante sana mkuu!! Naisubiri kwa hamuHabari wakuu,
Nilikuwa na dharura binafsi tangu siku ya Ijumaa.. Miniswamehe bure kwa usumbufu uliojitokeza..
Nitaweka muendelezo leo hii baada ya kama lisaa limoja kutoka sasa!
Kumradhi sana kwenu nyote!
The Bold
Pamoja mkuuHabari wakuu,
Nilikuwa na dharura binafsi tangu siku ya Ijumaa.. Miniswamehe bure kwa usumbufu uliojitokeza..
Nitaweka muendelezo leo hii baada ya kama lisaa limoja kutoka sasa!
Kumradhi sana kwenu nyote!
The Bold