Sasa si usome hapo hapo?Hizo episodes 13&14 naziona lakini hakuna namna ya Ku kuwaload,mwenye kuweza Ku download,A Copy & paste ili niweze kusoma!
Mimi sina access kama unayo icopy nitumie hapa!Sasa si usome hapo hapo?
Fuata page moja baada ya nyingine utaikuta episode unayoitakaMimi sina access kama unayo icopy nitumie hapa!
Tumeachwa kwenye mataa ya Ubungo mkuu na wengine ndio tumetoka mkoani[emoji26]Kwa hiyo wakuu ndio huduma imesitishwa??
Sredi ilikuwa imefika patamu sana hii.
Baba mbona povu linakutoka...kumbuka humlipi chochote coz anatumia resources zakeBold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.
Yaani mtu kuchelewa masaa yasiyozidi 24 kutoka mda aliousema yeye tayari huo wewe unaita mwendelezo usioeleweka?Bold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.
Mkuu unavuka mipaka sasa, mtu kajitolea kukupa stori bure halafu unaweka masharti? Je angeamua kuweka kwenye grupu lake la whatsap pekee? Wakati mwingine angalia comment yako kabla hujaileta kwenye public, usije kutukosesha uhondo bureeeBold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.
Bold na Nifah wamekaa kimaslahi zaidi.Mie nafikiri admin muweke sheria mtu akiweka hadithi awe na muendelezo unaeleweka vingine apewe ban.Manake anacheza na akili za watu.