Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,011
- 150,546
Weee kuoana mengineyo mkuu unatest Kwanzanilijawa na wivu mkuu, nchi inamajonzi alafu wao wanawaza ujinga, kwanza hawajaoana
Weee kuoana mengineyo mkuu unatest Kwanzanilijawa na wivu mkuu, nchi inamajonzi alafu wao wanawaza ujinga, kwanza hawajaoana
Unawezaje mkuuNikiona Mwisho ndo Naanza kusoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tatizo alianza kuwaponda wanzake wamewekana unyumba tu akasahau kuwa cheupe yupo ndaniWeee kuoana mengineyo mkuu unatest Kwanza
Chondechonde mkuu naomba uniweke kwenye list ya tag ...ombi la tatu nawasilishaa[emoji4] jumapili mbona karibu tu
Jpili mkuu karibu uwah siti.Story nzuri
Kiswahili safi hahaha kidogo kifanane na cha Arusha
Halaf inaendelea lini
Comment nying nmeshindwa hata kujua kama iliendelea au la!
Ahsante mkuu,ikiianza basi naomba unitag km hutajali lknJpili mkuu karibu uwah siti.
Wala sihitaji kuombwa mkuu NITAFANYA [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena kwa herufi kubwa,Ahsante mkuu,ikiianza basi naomba unitag km hutajali lkn
Hahahaha unaona ss kwa hyo nkisahau kukumbusha imekula kwangu kabisaaaaWala sihitaji kuombwa mkuu NITAFANYA [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena kwa herufi kubwa,
la muhim ni kukumbushana tu ,,
maana hadi jpili si haba ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi niruhusu nikutag kwenye kila thread kuanzia sasa ili niweke memory sawa au nije pm ?[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahaha unaona ss kwa hyo nkisahau kukumbusha imekula kwangu kabisaaaa
Ruksaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi niruhusu nikutag kwenye kila thread kuanzia sasa ili niweke memory sawa au nije pm ?[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Episode 1 iko post # 1Story nzuri
Kiswahili safi hahaha kidogo kifanane na cha Arusha
Halaf inaendelea lini
Comment nying nmeshindwa hata kujua kama iliendelea au la!
Ahsante mkuu ngoja niache uvivu nikasomeEpisode 1 iko post # 1
Episode 2 iko post # 282
Episode 3 inakuja j'pili
Halaf kumbe ya 2 ishatoka hata hunambiiRuksaaaa
Nitag tu hadi utakapochoka mkuu
Hahaaha mbna la pm umekaza?Ruksaaaa
Nitag tu hadi utakapochoka mkuu