Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,723
- 15,366
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] aiseee kumbe naweza kuwa na kichwa kinafanya kazi balaa ama naweza kuwa mrithi wa sheikh Yahaya maana si kwa kuhisi hukoDuuuuuuuuuhh
Mimi ndiye niliyoandika hiyo stori sema watu wanachukuaga humu nyuzi alafu wanazipeleka huko watsapp hawatoi credit kuwa mwandishi ni The Bold..
Nikujibu swali lako, Yes ni stori ya kweli na niliandika kwenye uzi wangu wa July 30, 2016 unaweza kuusoma hapa
Ahsante sana
Kwani ukinitag kule itakuwa vibaya ama ngoja nimuombe wifi Nifah anisaidie
Lkn ndo ubaya wa watu aisee hata kusema tu fulani ndo.mwandishi wanaona taabu tuwe tunawashtaki hawa