Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Sawa Mkuu! Ila shemela Nifah ndio mwenye ufunguo wa taglist so make sure unamshtua yeye akuongeze kwenye taglist..
Mkuu huoni kuwa utatuchanganya?Wakuu,
Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..
Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;
1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe
2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed
3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei
4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.
Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..
Samahani kwa usumbufu!
Shukarani..
Hayo majina yaliyobadilishwa yalitokea kwenye Episode moja pekee tena paragraph moja tu... majina mengine yote yamebaki vile vile..Mkuu huoni kuwa utatuchanganya?
Mkuu The bold, kumbe umeliona hili? Nimeshagundua kuwa ,Clkey kuna mambo anayakoisa kwa uvivu wa johnsonmgaya. Ndiyo maana namtaka &Clkey nimpe punch za Bolo, nimpe punch za juu, chini, za mashavuni hasa pembeni baada ya hapo lazima nami niitwe kichwa.Hahahahahaha itakuwa unairudia rudia sana Episode 7 alafu nahisi kama johnsonmgaya ajatoa punch za maana za dona sato hahahahah
Wewe Johnson hebu acha utani, kwanini unamuacha Clkey awe na maluwe luwe, Kama huwezi mambo tutaanza kumpigia debe fakalava
Mkuu The bold, kumbe umeliona hili? Nimeshagundua kuwa ,Clkey kuna mambo anayakoisa kwa uvivu wa johnsonmgaya. Ndiyo maana namtaka &Clkey nimpe punch za Bolo, nimpe punch za juu, chini, za mashavuni hasa pembeni baada ya hapo lazima nami niitwe kichwa.
Hapo ndiyo utajua ubabe wa bolo yanki.Blaki woman acha kabisaa wala sio uwongo kale ka episode ni noma balaa
Mm najisomeaga tu hayo hata sielewag Nimewakariri Ray,baba Bite na Cheupe hao wengne hata wakijichanganya shauri yaoHayo majina yaliyobadilishwa yalitokea kwenye Episode moja pekee tena paragraph moja tu... majina mengine yote yamebaki vile vile..
Na kama haukuisoma hiyo episode siku ile ile ilipptoka huwezi kuona changes zozote coz nilifanya hayo mabadiliko haraka sana mara tu baada ya kiweka hiyo episode..
So, NO sijawachanganya..
Maweeeee ww sitaki uniteke hvyo jamanMkuu The bold, kumbe umeliona hili? Nimeshagundua kuwa ,Clkey kuna mambo anayakoisa kwa uvivu wa johnsonmgaya. Ndiyo maana namtaka &Clkey nimpe punch za Bolo, nimpe punch za juu, chini, za mashavuni hasa pembeni baada ya hapo lazima nami niitwe kichwa.
Kakaang usimwite huyo hakawii kunipa mangumi ujueHahahahahah.! Clkey akisoma hapa ndio atazidi kuchanganyikiwa na kuona maluwe luwe..
johnsonmgaya ukiamka hebu kimbia uje huku, nishaona dalili za watu kukudediketia wimbo wa manfongo..
Najiandaa weekend hii kupiga punch.Hahahahahah.! Clkey akisoma hapa ndio atazidi kuchanganyikiwa na kuona maluwe luwe..
johnsonmgaya ukiamka hebu kimbia uje huku, nishaona dalili za watu kukudediketia wimbo wa manfongo..
Anatafuta sifa huyo, hana lolote jana kalala tepe tepe kavimba kila mahali, macho yamemvimba kama kafiwa na baba mzaziHahahahahaha itakuwa unairudia rudia sana Episode 7 alafu nahisi kama johnsonmgaya ajatoa punch za maana za dona sato hahahahah
Wewe Johnson hebu acha utani, kwanini unamuacha Clkey awe na maluwe luwe, Kama huwezi mambo tutaanza kumpigia debe fakalava
naona anafurahisha jamvi tuMkuu The bold, kumbe umeliona hili? Nimeshagundua kuwa ,Clkey kuna mambo anayakoisa kwa uvivu wa johnsonmgaya. Ndiyo maana namtaka &Clkey nimpe punch za Bolo, nimpe punch za juu, chini, za mashavuni hasa pembeni baada ya hapo lazima nami niitwe kichwa.

Mbaya namba moja ni ww mkuu we si wakunirushia ndege wangu hvo, you planed this bro,Hahahahahah.! Clkey akisoma hapa ndio atazidi kuchanganyikiwa na kuona maluwe luwe..
johnsonmgaya ukiamka hebu kimbia uje huku, nishaona dalili za watu kukudediketia wimbo wa manfongo..

Kwanini usiniombe mimi?The Bold kuna kastory kamoja hv nlikakuta kwa group moja hv whatsap ckukatilia maanani waweza tafuta au sijui unakafaham
Ka jamaa mmja hv alikuwa jambazi anayekaribia kutoka Gerezani - Marekani
Anaitwa Carl Gugasian maarufu kama "The Friday Night Bank Robber"
Ss nilikuwa busy nkajisahau nkakafuta
Nkasema anyway wacha nkucheki
Sijui ka kweli siju kauwongo ww nisaidie tu

The Bold kuna kastory kamoja hv nlikakuta kwa group moja hv whatsap ckukatilia maanani waweza tafuta au sijui unakafaham
Ka jamaa mmja hv alikuwa jambazi anayekaribia kutoka Gerezani - Marekani
Anaitwa Carl Gugasian maarufu kama "The Friday Night Bank Robber"
Ss nilikuwa busy nkajisahau nkakafuta
Nkasema anyway wacha nkucheki
Sijui ka kweli siju kauwongo ww nisaidie tu
Ma dear ww na FBI na majambazi wapi na wapi jamanKwanini usiniombe mimi?![]()
![]()
![]()