Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

Jamani najua nitakuwa biased kwa kuwa nimebenefit na elimu ya "special school lakini naomba niseme yafuatayo:
1. Kwanza ni muhimu kufahamu concept ya special school imefutwa toka enzi za Mungai na hivyo matokeo ya sasa hayareflect notion ya special school za enzi zetu.
2. Neno shule za vipaji maalum ilikuwa ni wrong conception na ndio maana hata Nyani Ngabu anapata tabu. Neno sahihi la kiingereza ni kuwa hizi ni shule za Special Achievers. Zipo nyingi zinzofuata concept hii. Baadhi ya shule hizo ni Eton ya Uingereza, Kamuzu Academy ya Malawi na Kings College Budo ya Uganda.

Awesome. Naona pole pole sasa watu wataanza kuelewa.

3. Shule za Mzumbe na Ilboru ziliweza (bila kuwa na walimu bora wala vitabu vya ziada wala mazingira yaliyoboreshwa) kuwa kwenye top ten schools kwa zaidi ya miaka 10 kwa sababu ya kuwa na wanafunzi high achievers).
4. Product za hizi special schools (ambazo zilianzishwa miaka ya 1995) bado ziko mid level katika decision making hierachy za nchi yetu. Baada ya miaka 5 kuanzia sasa tutaanza kuwaona wakichukua nafasi za juu katika vyombo vya maamuzi serikalini, katika taasisi za serikali na kwenye mashirika ya umma na mashirika binafsi.

Unamaanisha hizi "special schools" zilianzishwa mwaka 1995?

5. Wanafunzi wa special school walikuwa na bahati ya kufaulu kwa pamoja. Nakumbuka kuna wakati wanafunzi wa Ilboru na Mzumbe walifaulu wote 150 kwa Ilboru na 132 kwa Mzumbe na kwenda vyuo vikuu vya Muhimbili na UDSM. (Hili likuwa consistent kwa zaidi ya miaka 10). Hili kundi kubwa litakapoanza kufanya maamuzi litakuwa very powerful kwa nchi yetu na ndio mtaona impact.
6. Nyani Ngabu hebu fanya research kidogo kuhusu alumni wa special schools hizi na mahali walipo na wapi watakuwa five yrs to come. (Akikumbushia na impact ya Tabora Boys wakati na baada ya kudai uhuru.
7. Sijafanya research ya kutosha na mimi ni mwanantaaluma kwa hiyo nimejitahidi nisiende kwenye specifics.

Okay, I'll do that but until then the jury is still out.
 
Tanzania ina Shule sita zinazojulikana kama Vipaji Maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni Mzumbe,Tabora Boys,Ilboru,na Kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni Kilakala na Msalato.

Katika matokeo ya Kidato cha Nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,Shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),Kibaha(18),Ilboru(31),Tabora Boys(44),Msalato(59) na Kilakala(63).

NOTE: Shule mpya ya Marian Boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni Shule pacha ya Marian Girls (zote ziko Bagamoyo).Marian Girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya Feza Boys(3) na vinara St. Francis Girls ya Mbeya.

Kwaheri vipaji maalum!

Subiri ya form six...nyote mnaongea hapa kuponda vipaji maalumu ni wakosaji tu...
 
Nimehoji identification methods zinazotumika kuidentify hivyo vipaji maalum shuleni. Methods have to do with system. Don't they? What part of that don't you understand?

Your question was.., "Kuna Vipaji Maalumu Tanzania ?"

So before giving you the answer are you asking if is there Talented individuals in Tanzania ?, To put it bluntly if those kids in youtube clips they were born in Tanzania would we have known about them ?, or maybe even their parents would have discourage them for either being different or even being left handed (for example)..., Talent needs to be nourished even the kid who did college exams when still young, if that kid would not have been given those exams or exposed to the knowledge how would he have done such exams ?
 
Ni nani mwingine humu ambaye kasoma moja ya hizo shule za "vipaji maalum"?

Kama yupo na ajitokeze nim-test kama kweli anacho hicho kipaji maalum lol.

Niko hapa mkuu nimemaliza kibaha secondary...na utaanza kujua umuhimu wetu baada ya miaka kumi...nafasi za juu za serikali hushikiliwa na wanafunzi wa shule kama hizi za high achievers...mfano viongozi zaidi ya asilimia 60 walisoma shule hizi...hizi shule bado zina exist na ndo maana kuna vigezo bado kuchaguliwa kwenye hizi shule...mfano...huwezi chaguliwa PCM bila kuwa na point 3 ama 4 kwenye hayo masomo...na si chini ya div 1.14 wanaochukuliwa, na credit watakiwa kuwa nazo tisa...ndipo waweza pata nafasi kwenye shule hizi...PCM
 
Your question was.., "Kuna Vipaji Maalumu Tanzania ?"

So before giving you the answer are you asking if is there Talented individuals in Tanzania ?

No, that is not what I am asking. Matter of fact, the question I asked was a rhetorical one with a tinge of sarcasm in it.

No one in their right mind would argue that in a pool of 44 million mortals that there are no intellectually gifted souls.
 
Niko hapa mkuu nimemaliza kibaha secondary...na utaanza kujua umuhimu wetu baada ya miaka kumi...nafasi za juu za serikali hushikiliwa na wanafunzi wa shule kama hizi za high achievers...mfano viongozi zaidi ya asilimia 60 walisoma shule hizi...hizi shule bado zina exist na ndo maana kuna vigezo bado kuchaguliwa kwenye hizi shule...mfano...huwezi chaguliwa PCM bila kuwa na point 3 ama 4 kwenye hayo masomo...na si chini ya div 1.14 wanaochukuliwa, na credit watakiwa kuwa nazo tisa...ndipo waweza pata nafasi kwenye shule hizi...PCM

Hahahaaa haya bwana kipaji maalum. :smile-big:
 
Subiri ya form six...nyote mnaongea hapa kuponda vipaji maalumu ni wakosaji tu...
Mkuu tumesoma hizo shule (Mzumbe) na nilipata hiyo division one. Mr Mkomboti na mganda walikuwa baadhi ya walimu wangu. Lakini hadi leo sina hivyo vipaji vinavyoongelewa na sikumwona mwanafunzi yoyote ambaye naweza kusema alikuwa ama amekuwa genius. Hebu nielimishe. Ilikuwa ni kukariri mtindo mmoja na hakukuwa na jipya. Kufaulu na kupata division one hata iwe ya 3 points haimaanishi una kipaji maalum.
 
Mkuu tumesoma hizo shule (Mzumbe) na nilipata hiyo division one. Mr Mkomboti na mganda walikuwa baadhi ya walimu wangu. Lakini hadi leo sina hivyo vipaji vinavyoongelewa na sikumwona mwanafunzi yoyote ambaye naweza kusema alikuwa ama amekuwa genius. Hebu nielimishe. Ilikuwa ni kukariri mtindo mmoja na hakukuwa na jipya. Kufaulu na kupata division one hata iwe ya 3 points haimaanishi una kipaji maalum.

Lets agree to disagree on the notion "vipaji maalumu" is wrongly used buh should be changed into "great achievers" based on educational matters...kijana wangu nakuhakikishia kuwa after 10yrs mashirika mengi ya umma na serikali kwa ujumla itakuwa chini ya vijana wa shule hizo tajwa...
 
Niko hapa mkuu nimemaliza kibaha secondary...na utaanza kujua umuhimu wetu baada ya miaka kumi...nafasi za juu za serikali hushikiliwa na wanafunzi wa shule kama hizi za high achievers...mfano viongozi zaidi ya asilimia 60 walisoma shule hizi...hizi shule bado zina exist na ndo maana kuna vigezo bado kuchaguliwa kwenye hizi shule...mfano...huwezi chaguliwa PCM bila kuwa na point 3 ama 4 kwenye hayo masomo...na si chini ya div 1.14 wanaochukuliwa, na credit watakiwa kuwa nazo tisa...ndipo waweza pata nafasi kwenye shule hizi...PCM
Unamtisha nani na Kibaha sec? Kuna nini jipya Kibaha ama wametoa genius gani?
Hata Chenge alienda Harvard. Mkapa alienda Columbia....Ivy League schools!!! Angalia madudu yao sembuse Kibaha?
 
Lets agree to disagree on the notion "vipaji maalumu" is wrongly used buh should be changed into "great achievers" based on educational matters...kijana wangu nakuhakikishia kuwa after 10yrs mashirika mengi ya umma na serikali kwa ujumla itakuwa chini ya vijana wa shule hizo tajwa...

Wewe umeamua kuchekesha tu sasa.
 
Unamtisha nani na Kibaha sec? Kuna nini jipya Kibaha ama wametoa genius gani?
Hata Chenge alienda Harvard. Mkapa alienda Columbia....Ivy League schools!!! Angalia madudu yao sembuse Kibaha?

Kijana nani kamtisha mwenzake hapa...mie nilikuwa nasema baada ya miaka kadhaa utaona sura nyingi kwenye mashirika ya umma...
 
Kijana nani kamtisha mwenzake hapa...mie nilikuwa nasema baada ya miaka kadhaa utaona sura nyingi kwenye mashirika ya umma...

Una uhakika?una hesabu(idadi)yao?another gifted veteran from the same hole,academically predictor,well! After those handfull years would you please come back with feedback? Am waiting.
 
ni kweli tulioenda special school ni kwa kufaulu kwetu kwa kupewa at least 75% of examination,kwa mwaka 2012 special school hawakupata paper yoyote ya kusolve before exam kwa iyo competions ilikuwa fifty-fifty.
 
ni kweli tulioenda special school ni kwa kufaulu kwetu kwa kupewa at least 75% of examination,kwa mwaka 2012 special school hawakupata paper yoyote ya kusolve before exam kwa iyo competions ilikuwa fifty-fifty.

Scandalous....ina maana kumbe mlikuwa mnapewa paper kiaina?
 
Ngabu unapotea kwa kulinganisha Marekani na Tanzania bila kufanya adjustment za hapa na pale. Marekani ni watu wa promo, ishu inaweza ya kawaida lakini wataikuza mpaka basi.

Pia kuna ishu ya system. Wao wameamua kupima vipaji kwa staili hiyo, huku tumeamua kwa staili nyingine. Mfano hesabu za kimarekani ni za kitoto sana kwa hiyo usibabaike na wa grade ya chini kufanya hesabu za grade ya juu.

Hata huku wanakuwepogi watoto wa dizaini hiyo. Mfano Kibaha kulikuwaga na jamaa wanapiga PCMB. Mzumbe kulikuwaga na jamaa wako form 1 au 2 wanapiga ngoma za form 3 au 4.

Kiufupi kufanya masomo ya ngazi ya juu kitaaluma sio ishu ya ajabu sana kwa wanaokwendaga Special Schools za Tanzania. Sema hakunaga promo Bongo, watu wanajulikana kwa watu wao wa karibu. Na pia haina tija kivile kwa sababu hatuna tabia za kurusha watu madarasa.

Kama hujasoma Special School ni ngumu kuelewa mazingira ya uspecial yakoje. Lakini nakuhakikishia kulikuwa na talented students kule, ambao japokuwa wanasoma kama wewe na mimi lakini uwezo wao wa kuelewa ni mkubwa sana kuliko wa wanafunzi wengi wengine.

Halafu ukumbuke huku Bongo kuna ishu ya lugha pia. Hebu walete hao watoto wa Kimarekani wajifunze kwa Kiswahili tuone kama hawajaonekana mbulula.

IQ tests naona ziko overrated. Ziinatumikaga Bongo kudahili watu vyuoni, form 1 private na makazini, nishazifanya kadhaa lakini bado sijaona kama ni kipimo cha uwezo wa mtu kiutendaji.
 
Ngabu unapotea kwa kulinganisha Marekani na Tanzania bila kufanya adjustment za hapa na pale. Marekani ni watu wa promo, ishu inaweza ya kawaida lakini wataikuza mpaka basi.

Pia kuna ishu ya system. Wao wameamua kupima vipaji kwa staili hiyo, huku tumeamua kwa staili nyingine. Mfano hesabu za kimarekani ni za kitoto sana kwa hiyo usibabaike na wa grade ya chini kufanya hesabu za grade ya juu.

Hata huku wanakuwepogi watoto wa dizaini hiyo. Mfano Kibaha kulikuwaga na jamaa wanapiga PCMB. Mzumbe kulikuwaga na jamaa wako form 1 au 2 wanapiga ngoma za form 3 au 4.

Kiufupi kufanya masomo ya ngazi ya juu kitaaluma sio ishu ya ajabu sana kwa wanaokwendaga Special Schools za Tanzania. Sema hakunaga promo Bongo, watu wanajulikana kwa watu wao wa karibu. Na pia haina tija kivile kwa sababu hatuna tabia za kurusha watu madarasa.

Kama hujasoma Special School ni ngumu kuelewa mazingira ya uspecial yakoje. Lakini nakuhakikishia kulikuwa na talented students kule, ambao japokuwa wanasoma kama wewe na mimi lakini uwezo wao wa kuelewa ni mkubwa sana kuliko wa wanafunzi wengi wengine.

Halafu ukumbuke huku Bongo kuna ishu ya lugha pia. Hebu walete hao watoto wa Kimarekani wajifunze kwa Kiswahili tuone kama hawajaonekana mbulula.

IQ tests naona ziko overrated. Ziinatumikaga Bongo kudahili watu vyuoni, form 1 private na makazini, nishazifanya kadhaa lakini bado sijaona kama ni kipimo cha uwezo wa mtu kiutendaji.

I agree 100% with u, Can't put it any better than that, you nailed it mkuu. Na hapa jamaa wana-act like hawaelewi, the concept of academically gifted students is everywhere duniani along side other forms of "gifted" what Ngabu na wenzake use ni ufinyu wa kiswahili kukosa misamiati sahihi na kutumia "vipaji maalum" which is technically right but kwa uchache wa kiswahili "vipaji" is a very wide term.

Pia umetoa mifano mizuri sana, but people will argue for the sake of arguing tu. To appreciate special schools you need to have gone through them.
 
Kufaulu mitihani ya NECTA hakukufanyi uwe na kipaji maalum, period.

Nimekutana na wengi tu waliosoma shule hizo na kwa kweli sikuona aliye na kipaji maalum. Wengi ni wa kawaida kabisa.

Sasa sisemi kwamba hakuna hata wawili watatu hapa na pale ambao pengine wanaweza kuwa na kipaji maalum cha ukweli lakini wengi wa watu waliokuwa wanachaguliwa kwenda kwenye hizo shule hawana vipaji maalum. Ni walifaulu mitihani yao vizuri tu, basi.

Natoa changamoto na swali jingine:

Swali - je, kila mwanafunzi aliyechaguliwa kwenda kwenye hizo shule za wenye vipaji maalum ni kweli alikuwa na kipaji maalum? Kwa sababu kama shule zilikuwa ni za vipaji maalum basi lazima student body yote ingekuwa ni vipaji maalum la sivyo mtu usingechaguliwa kwenda huko in the first place.

Na nani anaweza kunitajia majina 20 au hata 10 ya wanafunzi wenye vipaji maalum waliosoma kwenye hizo shule na accomplishments zao.

Na kudai eti Marekani ni watu wa promo ni kutaka kukwepa ukweli kwa kuwa dismissive na ku imply kwamba they are not all they are cracked up to be. Mimi nasema hivi, Marekani siyo watu wa promo tu and the proof is in the pudding.

You don't just become the world's only super power by running your mouth and spewing hot air.

Haya nitajieni majina ya hao wenye vipaji maalum waliosoma hizo shule za wenye vipaji maalum.
 
I agree 100% with u, Can't put it any better than that, you nailed it mkuu. Na hapa jamaa wana-act like hawaelewi, the concept of academically gifted students is everywhere duniani along side other forms of "gifted" what Ngabu na wenzake use ni ufinyu wa kiswahili kukosa misamiati sahihi na kutumia "vipaji maalum" which is technically right but kwa uchache wa kiswahili "vipaji" is a very wide term.

Pia umetoa mifano mizuri sana, but people will argue for the sake of arguing tu. To appreciate special schools you need to have gone through them.

Wewe umesoma shule za vipaji maalum? Kama ndiyo, je, wewe una kipaji maalum?
 
IQ tests naona ziko overrated. Ziinatumikaga Bongo kudahili watu vyuoni, form 1 private na makazini, nishazifanya kadhaa lakini bado sijaona kama ni kipimo cha uwezo wa mtu kiutendaji.

Vyuo gani ambavyo hutumia test za IQ kudahili watu - UDSM, Tumaini, UDOM? Na shule gani za sekondari ambazo hutumia hizo test kwenye udahili?

Je, hizo shule za vipaji maalum nazo hutumia IQ tests kwenye udahili?

Je, wewe umesoma shule za vipaji maalum? Kama ndiyo, je, wewe una kipaji maalum?

Halafu unasema hesabu za Marekani ni za kitoto? Unachekesha kweli wewe. Kama mambo ya kitoto yanaleta maendeleeo hivyo basi I'll take them on any given day compared na hesabu za kikubwa za kibongo....

Ila the idea kwamba kuna hesabu za kitoto ni idiotic kwa sababu hesabu ni hesabu tu...sidhani kuna kitu kama calculus za Kimarekani au trigonometry za Kibongo....funny.
 
Back
Top Bottom