naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,066
HIVI KWA NINI HAWANYONGWI????! halafu kiswahili chenyewe nacho butu, tuachwa tupumu'we'!!! HIVI WANA MAANA GANI?? AU NDIO MAANA YA KUJITOA KWENYE MUUNGANO?? yaani kutokwenda shule ni mzigo mkubwa sana!!! sijui nani aliwaroga watu hawa??
Usikaririri kutokwenda shule Tanzania hakuna dini!umefanya research wapi?nenda Iringa,Mbeya,k'njaro na Mwanza alafu hesabu wasiosoma na dini zao uje utuambie!hiyo ni obvious kupata wasiosoma Znz ni waislamu!
Au Mulugo naye ni muslim?wakoloni nuksi sana!