Viongozi wa serikali wanatukanana kama wahuni wa Kariakoo

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,718
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo, lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.

Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha, kwa sababu, wapo matajiri na maskini, hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.

Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.

Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa, kwa nini usiwepo imoja katika serikali.

Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?

Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
 
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo,lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.
Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha,kwa sababu,wapo matajiri na maskini,hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.
Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.
Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa,kwa nini usiwepo imoja katika serikali.
Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?
Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Utakuwaje na umoja na mtu anayekusababishia maisha magumu kama mwigulu kwa mfano?
Kila siku anakaa kubuni tozo mpya!
 
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo, lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.

Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha, kwa sababu, wapo matajiri na maskini, hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.

Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.

Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa, kwa nini usiwepo imoja katika serikali.

Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?

Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
Hizo chenga za uandishi sasa,

Mjinga akibahatika kuambulia chochote, amejitahidi sana!!

Welcome back.🙏
 
Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
Sio uongo Waha ni Wahutu, enzi za Utawala Bahima Empire wa Bunyoro Kitara, jamii zote za interlacustrine region zilikuwa chini ya Bahima wamegawanyika katika makundi mawili, the Abakama na Abairu. Wahutu ni Abairu. Baganda ni Abahima, Watutsi kuna abahima na Abairu. Watoro ni abahima, Waangaza abahima, Wahaya kuna abahima na abahuru, you can distinguish abahima na Abairu kwa skin colour, long baby face na dental formula, Abairu wana sura ngumu hivyo Waha ni wahutu. Mkoloni alipokuja akanyoosha tuu mipaka na kuyamega makabila. Wanyasa ni Wamalawi!, Wamekonde ni wa Nchumbiji, Wajaluo ni Wa Luo, Masaai wakakatwa katikati huku na kule.

Tukianza kufuatiana na kufukuzana kurejeshana makwao kwenye asili zao za nani ni Mtanzania halisi na asili na nani ni Mtanzania wa kuja ambaye hatii shaka, hata Dingi yako asingebaki maana kwa ile skin colour yake, ile long face na dental formula, sio wa hapa!.

Kwa makabila ya mipakani ni changamoto!.
P
 
Sio uongo Waha ni Wahutu, enzi za Utawala Bahima Empire wa Bunyoro Kitara, jamii zote za interlacustrine region zilikuwa chini ya Bahima wamegawanyika katika makundi mawili, the Abakama na Abairu. Wahutu ni Abairu. Baganda ni Abahima, Watutsi kuna abahima na Abairu. Watoro ni abahima, Waangaza abahima, Wahaya kuna abahima na abahuru, you can distinguish abahima na Abairu kwa skin colour, long baby face na dental formula, Abairu wana sura ngumu hivyo Waha ni wahutu. Mkoloni alipokuja akanyoosha tuu mipaka na kuyamega makabila. Wanyasa ni Wamalawi!, Wamekonde ni wa Nchumbiji, Wajaluo ni Wa Luo, Masaai wakakatwa katikati huku na kule.

Tukianza kufuatiana na kufukuzana kurejeshana makwao kwenye asili zao za nani ni Mtanzania halisi na asili na nani ni Mtanzania wa kuja ambaye hatii shaka, hata Dingi yako asingebaki maana kwa ile skin colour yake, ile long face na dental formula, sio wa hapa!.

Kwa makabila ya mipakani ni changamoto!.
P
Rudi sasa ukafute andiko lako la uchochezi kuhusu kuwapima watu DNA kujua wazazi viongozi wetu walitoka wapi.
 
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo, lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.

Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha, kwa sababu, wapo matajiri na maskini, hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.

Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.

Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa, kwa nini usiwepo imoja katika serikali.

Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?

Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
Wawafukuze tena. Nadhani waseme mkoa wa Kigoma siyo sehemu ya Tanzania. Kwakuwa huwezi watenganisha waha na Mkoa wa Kigoma. Inakuwaje muutake mkoa wa Kigoma halafu wenyeji wake hamuwataki. Labda mtueleze kabla ya hapo mkoa wa Kigoma waliishi akina nani.
Mnachokitafuta mtakipata.
 
Rudi sasa ukafute andiko lako la uchochezi kuhusu kuwapima watu DNA kujua wazazi viongozi wao walitoka wapi.
Bandiko hili Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? still stands!.

Ili wewe Raboni bin Jeiefu uweze kuwa Rais wa JMT, lazima uwe raia wa kuzaliwa na wazazi wako wawe Watanzania. Namna pekee ya kujua kuwa Jeiefu hata kama ulizaliwa Tanzania, jee huyo Jeiefu kweli ndio baba yako halisi?. Imetokea majirani zetu they are brighter and brilliant kuliko sisi, hivyo kuna vibanyamulenge kibao huko mipakani, huko nyuma tumewaisha wahi kuumwa na nyoka, tena not once, twice! (Please usiniulize zaidi), hivyo we shouldn't risk the on our highest office!.
P
 
Bandiko hili Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? still stands!.

Ili wewe Raboni bin Jeiefu uweze kuwa Rais wa JMT, lazima uwe raia wa kuzaliwa na wazazi wako wawe Watanzania. Namna pekee ya kujua kuwa Jeiefu hata kama ulizaliwa Tanzania, jee huyo Jeiefu kweli ndio baba yako halisi?. Imetokea majirani zetu they are brighter and brilliant kuliko sisi, hivyo kuna vibanyamulenge kibao huko mipakani, huko nyuma tumewaisha wahi kuumwa na nyoka, tena not once, twice! (Please usiniulize zaidi), hivyo we shouldn't risk the on our highest office!.
P
Ikiwa Wana Akili kutuzidi watu wa asili hiyo,

Kuna shida Gani wakituongoza?

By the way, Mipaka ya Tanganyika kabla ya uhuru ilihusisha Nchi nyingi sana EA.

Tuungane, EA iwe Nchi moja, tuwe na Sarafu Moja, tupate Rais mmoja, tuwe block mojawapo Duniani kupata hatua kubwa zaidi kimaendeleo nk nk.
 
Bandiko hili Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? still stands!.

Ili wewe Raboni bin Jeiefu uweze kuwa Rais wa JMT, lazima uwe raia wa kuzaliwa na wazazi wako wawe Watanzania. Namna pekee ya kujua kuwa Jeiefu hata kama ulizaliwa Tanzania, jee huyo Jeiefu kweli ndio baba yako halisi?. Imetokea majirani zetu they are brighter and brilliant kuliko sisi, hivyo kuna vibanyamulenge kibao huko mipakani, huko nyuma tumewaisha wahi kuumwa na nyoka, tena not once, twice! (Please usiniulize zaidi), hivyo we shouldn't risk the on our highest office!.
P
Kwahiyo hapa wao kuwa na akili mingi ndiyo dhambi. Ndiyo maana mipaka mingine hamna shida nao kwakuwa akili hawana.
 
C
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo, lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.

Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha, kwa sababu, wapo matajiri na maskini, hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.

Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.

Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa, kwa nini usiwepo imoja katika serikali.

Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?

Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
CCM ndiyo chanzo cha mfarakano baada ya viongozi wa chama hicho kuamuru kuwadhulu wapinzani.
 
C
Labda ipo njia ya kistaarabu zaidi ya kuandika haya mambo. Tunashangazwa wote nadhani katika haya maneno yanayosemwa kati ya Katibu Mwenezi Makonda na Waziri Bashe. Na pia wapo wengine.
Haya ni mambo mabaya. Kama Mbunge Gwajima alivyokuwa anasema jana kwamba mtoto wa tajiri wa Unguja alitoweka sijui halafu akakutwa amekufa. Tena mambo yalivyo labda Gwajima ana idea kidogo nani kafanya kosa hilo, lakini political correctness inamlazimisha kukaa kimya.

Umoja wa kitaifa labda ni njozi tu za alinacha, kwa sababu, wapo matajiri na maskini, hawa watu wanaweza kuwa na umoja gani? Labda itokee vita.

Halafu yule aliyekufa alikuwa ametobolewa macho. Tunaishi na watu mentally deranged.

Kwa hiyo hata kama hatuna umoja wa kitaifa, kwa nini usiwepo imoja katika serikali.

Kuna clip ilikiwa inatembea juzi inasema,tulikuwa wamoja siku zote,imekuwaje siku za karibuni watu wanatazamana kama vile hawajuani?

Watu hawana hiari kuwa wamoja. Kuna sheria zinavunjwa ukijaribu kuwagawa watu.
Tunabishana kuhusu uraia bila sababu. Hawa watu unaiwaita Waha,actually ni Wahutu. Wafukuze basi waende Burundi na Rwanda.
CCM ndiyo chanzo cha mfarakano baada ya viongozi wa chama hicho kuamuru kuwadhulu wapinzani.
 
Sio uongo Waha ni Wahutu, enzi za Utawala Bahima Empire wa Bunyoro Kitara, jamii zote za interlacustrine region zilikuwa chini ya Bahima wamegawanyika katika makundi mawili, the Abakama na Abairu. Wahutu ni Abairu. Baganda ni Abahima, Watutsi kuna abahima na Abairu. Watoro ni abahima, Waangaza abahima, Wahaya kuna abahima na abahuru, you can distinguish abahima na Abairu kwa skin colour, long baby face na dental formula, Abairu wana sura ngumu hivyo Waha ni wahutu. Mkoloni alipokuja akanyoosha tuu mipaka na kuyamega makabila. Wanyasa ni Wamalawi!, Wamekonde ni wa Nchumbiji, Wajaluo ni Wa Luo, Masaai wakakatwa katikati huku na kule.

Tukianza kufuatiana na kufukuzana kurejeshana makwao kwenye asili zao za nani ni Mtanzania halisi na asili na nani ni Mtanzania wa kuja ambaye hatii shaka, hata Dingi yako asingebaki maana kwa ile skin colour yake, ile long face na dental formula, sio wa hapa!.

Kwa makabila ya mipakani ni changamoto!.
P
Hili la 'dental formula' hasa unapotaja makundi ya makabila lipoje, nifafanulie mkuu.
 
Sio uongo Waha ni Wahutu, enzi za Utawala Bahima Empire wa Bunyoro Kitara, jamii zote za interlacustrine region zilikuwa chini ya Bahima wamegawanyika katika makundi mawili, the Abakama na Abairu. Wahutu ni Abairu. Baganda ni Abahima, Watutsi kuna abahima na Abairu. Watoro ni abahima, Waangaza abahima, Wahaya kuna abahima na abahuru, you can distinguish abahima na Abairu kwa skin colour, long baby face na dental formula, Abairu wana sura ngumu hivyo Waha ni wahutu. Mkoloni alipokuja akanyoosha tuu mipaka na kuyamega makabila. Wanyasa ni Wamalawi!, Wamekonde ni wa Nchumbiji, Wajaluo ni Wa Luo, Masaai wakakatwa katikati huku na kule.

Tukianza kufuatiana na kufukuzana kurejeshana makwao kwenye asili zao za nani ni Mtanzania halisi na asili na nani ni Mtanzania wa kuja ambaye hatii shaka, hata Dingi yako asingebaki maana kwa ile skin colour yake, ile long face na dental formula, sio wa hapa!.

Kwa makabila ya mipakani ni changamoto!.
P
Hivi Rwanda,Burundi,Msumbiji,Malawi,Congo n.k Huwa hawayasemi vibaya makabila yaliyo pakana na Tanzania kuwa wao sio waasili wa nchi zao Bali ni Watanzania kama sisi tunavyopenda kuyasema makabila yaliyo mipakani kuwa sio asili yao hapa Tanzania Bali ni huko kwenye nchi wanazopakana nazo.

Au hayo makabila ya mipakani yanayopatikana hapa Tanzania hayataki kuwa Tanzania na yanamipango yao ya sili iliyo kinyume Tanzania?
 
Hivi Rwanda,Burundi,Msumbiji,Malawi,Congo n.k Huwa hawayasemi vibaya makabila yaliyo pakana na Tanzania kuwa wao sio waasili wa nchi zao Bali ni Watanzania kama sisi tunavyopenda kuyasema makabila yaliyo mipakani kuwa sio asili yao hapa Tanzania Bali ni huko kwenye nchi wanazopakana nazo.

Au hayo makabila ya mipakani yanayopatikana hapa Tanzania hayataki kuwa Tanzania na yanamipango yao ya sili iliyo kinyume Tanzania?
Nimesema mipaka iliyowekwa na wazungu imekata makabila na baadhi ya koo!. Nenda Mutukula Wahaya wamekatwa katikati wale wa Tanzania ndio Watanzania, wale wa Uganda ni Waganda. Ngara wale Tanzania ni Wahangaza wale wa Rwanda ni Wanyarwanda. The same applies kwenye mipaka yote!. Kuna Watanzania wamelowea kwa majirani na kuna majirani wamelowea kwetu.

Pale Bukoba kuna binti wa Mzee mmoja maarufu, akabebwa na jirani kule akapata watoto wawili wa kike na kiume waliozaliwa
nchi jirani. Wakashindwana na huyo jirani binti akarudi kwa wazazi wake Tanzania akiwa na wanawe. Akatokea Mtanzania akafika bei akaoa binti na wanawe, wakatumia jina lake, wa kiume akasomeshwa kama Mtanzania, baadae yule mtoto... naomba nisimalizie!.

Na yule wa Kusini, vivyo hivyo, Mama ndio Mtanzania, alizaliwa jirani akaingia Tanzania akiwa 6 years!.

P
 
Nimesema mipaka iliyowekwa na wazungu imekata makabila na baadhi ya koo!. Nenda Mutukula Wahaya wamekatwa katikati wale wa Tanzania ndio Watanzania, wale wa Uganda ni Waganda. Ngara wale Tanzania ni Wahangaza wale wa Rwanda ni Wanyarwanda. The same applies kwenye mipaka yote!. Kuna Watanzania wamelowea kwa majirani na kuna majirani wamelowea kwetu.

Pale Bukoba kuna binti wa Mzee mmoja maarufu, akabebwa na jirani kule akapata watoto wawili wa kike na kiume waliozaliwa
nchi jirani. Wakashindwana na huyo jirani binti akarudi kwa wazazi wake Tanzania akiwa na wanawe. Akatokea Mtanzania akafika bei akaoa binti na wanawe, wakatumia jina lake, wa kiume akasomeshwa kama Mtanzania, baadae yule mtoto... naomba nisimalizie!.

Na yule wa Kusini, vivyo hivyo, Mama ndio Mtanzania, alizaliwa jirani akaingia Tanzania akiwa 6 years!.

P
Ha ha ha ha, huyo Mhaya Mganda alikuwa Jaji
 
Back
Top Bottom