Muru sambemo mawa
Member
- Apr 19, 2023
- 41
- 89
Wakuu Habari,
Tangu timu hizi mbili za Kariakoo kuvuka hatua ya nusu fainali, mengi sana yamejitokeza kwa baadhi ya mashabiki hadi viongozi wa serikali. Tunafahamu kweli faida ya kupeleka timu mbili robo fainali na wengi pia tunatamani ikiwezekana mmoja achukue kombe hili ambalo halijawahi kuletwa hapa nchini kwetu.
Jambo moja linalonifikirisha ni hili la baadhi ya viongozi wa Yanga kukomaa kutaka utani wa jadi uwekwe pembeni na timu zishirikiane. Hii hofu kwa viongozi hawa imetoka wapi?
Je, kuna jambo labda watu wa Simba wanalifahamu kwahiyo wanaogopa litapelekwa kwa upinzani?
Tangu timu hizi mbili za Kariakoo kuvuka hatua ya nusu fainali, mengi sana yamejitokeza kwa baadhi ya mashabiki hadi viongozi wa serikali. Tunafahamu kweli faida ya kupeleka timu mbili robo fainali na wengi pia tunatamani ikiwezekana mmoja achukue kombe hili ambalo halijawahi kuletwa hapa nchini kwetu.
Jambo moja linalonifikirisha ni hili la baadhi ya viongozi wa Yanga kukomaa kutaka utani wa jadi uwekwe pembeni na timu zishirikiane. Hii hofu kwa viongozi hawa imetoka wapi?
Je, kuna jambo labda watu wa Simba wanalifahamu kwahiyo wanaogopa litapelekwa kwa upinzani?