Karma can skip you and hit your kids. Viongozi wa serikali wenye imani hii inawahusu

Annie X6

JF-Expert Member
Mar 16, 2023
405
751
Ofisi ya Tais Tamisemi ina viongozi kama ngozi, kazi yao kulinda maslah ya wajuu yao. Ngozi kazi yake kubwa ni kukinga, hicho ndicho wanachokifanya watu wa Tamisemi.

Ukiangalia idara za afya , elimu, ujenzi nk kazi yao ni kuweka limit nothing more than just keeping and helping leaders interests.

Nitafafanua.

Wakati afsa alimu ana posh ya madaraka, afsa elimu kata ana posh, mwalimu mkuu au mkuu wanshule wana posh.

Mwalimu hana hata Mia kwa mwezi. Kazi zote anafanya yeye. What the hel is this.

Nanda afya.
DMO ana posho, Engineer wa halmashauri/Manispaa anaposho. Watendani chini yao wanaposho, meisho wa siku anayesimamia ujenzi ni mwalimu, afsa afya nk.

Haya mambo ni ya kijinga sana.

Kwa mara ya kwanza waziri mmoja alionesha hasira kwa RC DC kwamba kuna mambo wanawajibika, hii ni ishara ya ufahamu kwao. Wanajua kuna watu wanainjoi madaraka, wanaoumia wengine. Katika haya mambo anahitajika Rais na watendaji jiwe kwelikweli, wanaojua maslah na wajibu wa mtu.

Ukielewa hiki ninachokisema utajua kwa nini ulaya hawana mifumo hii ya kipuuzi. Mifumo inayotetea daraja tawala. Mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya wangefanyakqzi zao baadhi ya haya mambo yasingetokea.

Jiulize walivuoweka posho kwa upande wao walimfikiria mtumishi wa chini? Yeye sio mtu? Sio mtenda kazi? au wao wasimamizi hawana mishahara? Huu ni ubinafsi uliotokana kiongoz mmoja aliyekosea basi tunaishi katika makosa
 
Majuzi Ummi mwalimu alifanya kituko kwenye nhif. Una block vipi bima yangu wakati nipo kwenye system na nakatwa? Ukifika hospitalsunaambiwa kadi ime expire
Aliekublock ni Ummy Mwalimu kweli au umesema tu? Yaan alikufanyia wewe hicho kituko?
 
Aliekublock ni Ummy Mwalimu kweli au umesema tu? Yaan alikufanyia wewe hicho kituko?
Mkuu kama unatumia bima mkanganyika wa mwezi mmja uliopita ungeujua tu.

Kabla ya mwezi mmoja au miwili iliyopita kumekuwa na debate juu ya mfumo wa bima ya afya. Moja ya mabadiliko ni ku activate wanufaika. Cha ajabu hata wachangiaji walikuwa blocked.

Last few weeks wamerejesha huduma kwa wachangiaji isipokuwa wategemezi wanahuisha taarifa bima whi6is okay.

Nilichoshangaa ni mchangiaji anaambiwa kadi ime expire. Kiukweli ilileta shida kubwa sana.

Kiuhalisia ilitakiwa hata nikiwa sina bima ya afya madam ni mchangiaji hata NIDA yangu ilipaswa iwe imeshaungwa nikiwa nayo napata hudumq bado kuna ombre kubwa sana.

Ina maana bado mifumo haiwatambui watanzania kama ni wafanyakazi pamoja na kuwa wana nida na bima zao
 
Ukilalamika sana watakwaambia na wewe kawe DEO, REO AU DMO RMO AU NA WEWE KAWE MKUU WA SHULE.

hapo cha msingi we fanya kazi zako kadri ya wao wanavyokulipa halafu angalia hamsini zako.
 
Ofisi ya Tais Tamisemi ina viongozi kama ngozi, kazi yao kulinda maslah ya wajuu yao. Ngozi kazi yake kubwa ni kukinga, hicho ndicho wanachokifanya watu wa Tamisemi.

Ukiangalia idara za afya , elimu, ujenzi nk kazi yao ni kuweka limit nothing more than just keeping and helping leaders interests.

Nitafafanua.

Wakati afsa alimu ana posh ya madaraka, afsa elimu kata ana posh, mwalimu mkuu au mkuu wanshule wana posh.

Mwalimu hana hata Mia kwa mwezi. Kazi zote anafanya yeye. What the hel is this.

Nanda afya.
DMO ana posho, Engineer wa halmashauri/Manispaa anaposho. Watendani chini yao wanaposho, meisho wa siku anayesimamia ujenzi ni mwalimu, afsa afya nk.

Haya mambo ni ya kijinga sana.

Kwa mara ya kwanza waziri mmoja alionesha hasira kwa RC DC kwamba kuna mambo wanawajibika, hii ni ishara ya ufahamu kwao. Wanajua kuna watu wanainjoi madaraka, wanaoumia wengine. Katika haya mambo anahitajika Rais na watendaji jiwe kwelikweli, wanaojua maslah na wajibu wa mtu
Kabisa...
Ndio maana watoto wao ni mateja.
Kazi kuhama hama sober houses
 
Back
Top Bottom