Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!

Sijaona point humu,kwanza uko too general...!!
 
Narudia tena akili za viongozi wa chadema ni sawa na gazeti la Tanzania daima!
 
Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!

kweli wajinga ni wengi,na wewe ni mmoja wao.
toka lini number za viongozi ni siri.
hata hujui maana ya uongozi.
 
Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!
Haki ya nani wewe una matatizo hadhara ukumaanisha nini? hizo namba zipo hadharani siku nyingi ila kwa sababu ya uvivu wenu wameamua kuwasaidia, ingia kwenye web site ya Bunge utakuta hizo namba na e-mail address zao. sasa sijui unazungumzia hadhara ipi wakati namba hizo zilishakuwa hadharani.
 
Kutaja namba ya simu ya kiongozi hadharani sio kosa,kosa lipo alipotaka(aliyezitaja namba) watu wawapigie au kutuma meseji za kuwaalani,Hauwezi ukaanza tu kumlaani mtu.Uzoefu unaonesha watu wengi wanaopendelea kuwalaani wengine walipatikana na laana hizo wenyewe.Walichotakiwa kufanya ni kueleza udhaifu uliopo kwa viongozi hao na hivyo chaguzi zijazo kuchgua vyama vya upinzani(CDM) ili iwe rahisi kwa baadaye CDM pia kuamua kwa habari ya spika na naibu wake.
 
kwa hali yoyote ile kitendo hicho ni utovu wa nidhamu. simu hata za kurugenzi ya mawasiliano ikulu zipo kwenye tovuti mbalimbali. simu ya ofisi ya spika ipo katika tovuti ya bunge. tatizo ni kuitoa hadharani katika HALI YA JAZBA NA LAWAMA MBELE YA KADAMNASI ILIYOTAWALIWA NA GHADHABU. unategemea heri hapo!? watatukanwa tu! siyo mwanasheria lkn kwa maoni ya misingi ya haki za binadamu naona kuwa makinda na ndugai hawajatendewa haki.

watu wana maswali mengi ya kumuuliza slaa na mbowe. wanaambiwe wawasiliane na viongozi wao hukohuko waliko. kwa nini slaa au mbowe hawaweki namba zao hadharani na kuzitaja mikitanoni ili wana chadema wakiwahitaji wawapigie moja kwa moja!? tuache siasa za maji taka. watu wataiona chdm kama chama kinacho leta machafuko na kutoweka kwa amani. cuf walianza vizuri lkn sera za jino kwa jino zilikiumiza sana.

ni ushauri wa bure!

naomba namba ya slaa iwekwe hapa hadharani. nina maswali yafuatayo ya kumuuliza;
1- kwa nini alizini na kuzaa nje ya ndoa huku akiwa padri na katibu wa baraza la maaskofu?
2- kwa nini alimuiba josephine hali ya kua ni mke wa mtu katika ndoa halali? sasa hivi amezaa nae! mtoto wa kupata huku ukiwa na umri zaidi ya miaka 70 siyo uhalifu!?
3- kwa nini alijikopesha mamilioni ya chama chetu chdm bila kufuata taratibu stahiki!?
4- kwa nini amekua akitoa ahadi na taarifa za uongo majukwaani!?
ccm wameingiza kontena la kura, mfuko wa saruji utauzwa 5000 nikipata urais.........
5- KWA NINI HELA YA RUZUKU HAIFIKI MIKOANI KUENDELEZA CHAMA BADALA YAKE INAISHIA MAKAO MAKUU!? yeye akiwa katibu mkuu haoni kuwa anakiua chama!?


naomba namba ya slaa iwekwe wazi ili tuliyo na kiu ya kumuuliza tumuulize bila kumtukana

Sasa mbona na wewe unfanya ghadhabu kwa Dr Slaa?

Haya namba yake hii hapa +255 784 666995
 
Mimi si chilisosi wala tomatososi ila ni NZOGOLONG'IVA usinibatize jina lisilokuwa langu. Unashabikia namba za akina Makinda kuwekwa hadharani vipi tukiweka ya mkeo utaridhika? sema niiweke hadharani wana JF wamjulie hali shemeji yao.

Weka hadharani ya mke wangu. Unajifanya kunijua mimi ni daraja lingine, si mpumbavu kama wewe unayeshabikia upuuzi wa Makinda wakati hata hujui utakula nini. Makinda kwao pale Yakobi ni jirani sana na hapa kwangu Ndzengelendete lakini siwezi kuunga mkono huu upuuzi wake na nafurahi akitukanwa. Ingawa nakaa kijijini lakini watoto wangu na mke wangu wana bima ya afya, tena ya KIJANI, wanasoma kwenye shule nzuri kuliko ukoo wako wote lakini bado sikubaliani na upuuzi. Watumwa kama nyie mnaoshindwa kupinga msichokiamini kwa kujikomba always mnakufa maskini kwa kuwa unaishi kwa ugali wa leo
 
Sasa mbona na wewe unfanya ghadhabu kwa Dr Slaa?

Haya namba yake hii hapa +255 784 666995

nashukuru kwa namba! asante sana! ila naomba naomba ili wana chadema wote wawe na ukaribu na viongozi wakuu, ni bora kwenye mkutano wa hadhara namba za viongozi wakuu zitajwe!
 
nashukuru kwa namba! asante sana! ila naomba naomba ili wana chadema wote wawe na ukaribu na viongozi wakuu, ni bora kwenye mkutano wa hadhara namba za viongozi wakuu zitajwe!

Wewe kwa vile si mwanachama ndio maana huna. Wanachama wote wanajua namna ya kuwasiliana na viongozi wao bila ya URASIMU
 
Wewe nakufananisha na kiongozi mmoja alisema wanamtwara walikuwa sahihi kuandamana ili kujua maslahi yao kwenye gas kosa liko kwa wanasiasa waliowashauri kuandamane cjui kazi ya mwanasiaasa ni ninii? Walichofanya viongozi wa cdm nikuwapa raia number za simu za makinda na ndugai ambazo zipo kwenye tovuti ya bunge ambapo sio wananchi wote wenye uwezo wa kuassess hiyo tuvuti done jiongezee kakaaa
 
Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!

Wewe ni Kenge tu huna ujualo .Namza hizo si siri na wao ni viongozi wa Taifa hili .Mbona za JK zina fahamika vipi za kwako ?
 
Mwanakondo, ukae ukijua kuwa Makinda na Ndugai ni viongozi wa kitaifa. Kwa hiyo hakuna kosa lolote kwa namba zao kuwekwa wazi.
Wapo viongozi wakubwa zaidi yao ambao namba zao zinajulikana, na wananchi wa kawaida kabisa huwapigia simu pale wanapohitaji kufanya hivyo.
 
kwa hali yoyote ile kitendo hicho ni utovu wa nidhamu. simu hata za kurugenzi ya mawasiliano ikulu zipo kwenye tovuti mbalimbali. simu ya ofisi ya spika ipo katika tovuti ya bunge. tatizo ni kuitoa hadharani katika HALI YA JAZBA NA LAWAMA MBELE YA KADAMNASI ILIYOTAWALIWA NA GHADHABU. unategemea heri hapo!? watatukanwa tu! siyo mwanasheria lkn kwa maoni ya misingi ya haki za binadamu naona kuwa makinda na ndugai hawajatendewa haki.

Naona mkuu ukweli unaujua lakini umeamua kupisha tu, kwenye website ya Bunge zipo namba zote za wabunge za kwao binafsi lengo ni kuwapa fursa wananchi kuongea nao moja kwa moja kero zinazo wakumba.
 
JF bana raha tupu, CDM wataacha bunge likiendeshwa kwa weredi, mbona CDM hawakumsakama sana mzee 6 enzi hzo?
 
Suala sio kwamba namba ya mtu inapatikana wapi; namba ya kiongozi yeyote lazma iwe inapatikana mahali fulani lakni suala la msingi ni muktadha ambao mtu huitoa namba hiyo.Kwa mfano hawa ndugu zetu chadema wamekuwa wakiwaambia wananchi kwamba hawa polisi mmewaajiri ninyi (kitu ambacho ni sahihi lakini katika mazngira wanayosemea na wanavyosema wanakuwa wanachochea fujo).Kwa mfano kwenye maandamano yaliyokatazwa na polisi wao wakalazmishia halafu katika mazngira ambayo watu wana jazba kali pengine na fujo za hapa na pale wao ndo wanasema "HAWA POLISI MUMEWAAJIRI NYIE WASIWAAMBIE LOLOTE HAWA.NA NAMBA YA IGP HII HAPA NI 0719........ MPIGIENI MUMUAMBIE KABISAAAA! KWAMBA HAWEZI KUWAFANYA LOLOTE KWANI NINYI NDO MUMEMUAJIRI".sasa hapa unakuta hoja ni sahihi lakini mazingira inapotolewa na jinsi inavyotolewa si sahihi.

Kwa ujinga huu ndo maana mnasaini mikataba isiyo kuwa na tija kwa wananchi kwa kusema ni siri, hao jamaa wanapaswa kuwajibika kwa wananchi kama ilivyo makamanda wa polisi mikoa namba zao zipo hadharani kwa nn zao ziwe siri?
 
Namba za Bibi yenu mi ninazo kitambo tu,sijaona kosa hapo
 
Back
Top Bottom