nzogolong'iva
Member
- Feb 8, 2013
- 9
- 1
Mimi si chilisosi wala tomatososi ila ni NZOGOLONG'IVA usinibatize jina lisilokuwa langu. Unashabikia namba za akina Makinda kuwekwa hadharani vipi tukiweka ya mkeo utaridhika? sema niiweke hadharani wana JF wamjulie hali shemeji yao.
Chilisosi umeibuka na ID mpya. Kweli dhambi ya usaliti ni kali sana. Inafanya watu mnakuwa very unsettled...