Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

Hizo ndizo sera zao, muda unakwenda wananchi wakiwapiga kibuti kwa kuwa hawana sera watadai wameibiwa kura.

Subiri 2015,hata baba yako Jk alisema msihangaike na vyama vya misimu sasa hivi kichwa kinamuuma mpaka basi.
 
Nakujibu kwa kifupi ni kwamba wametoa number ya spika(kama kiongozi ) na naibu spika(kama kiongozi),hawajatoa number za Anne makinda wala ndungai,mbona raisi alitoa number yake na wala hakutoa number ya kikwete!!!!
Hakuna sheria inayozuia kutangaza namba ya simu au anwani ya mtu mwingine
 
Scramble mayai au nani vile jinalo???Nilifikiri upo duniani kumbe lah!!!Wajitambua kweli?Yaani wewe katika dunia hii ya kupanga ni kuchagua unaona ni ajabu mfuko wa CEMENT KUUZWA 5,000/=Tshs?¿¿?NI NINI KINACHOKUFANYA UJITIE HAMNAZO?
Sawa mkuu; anajua harafu ya yai bovu lililokuwa scrambled!!
 
Bwana mdogo tunatakiwa kuwekeza katika utekelezaji wa mkakati ambao tuna hakika pasina shaka utatupa matokeo tarajiwa. Kwa akili yako ya kihambule unategemea kweli sms nyingi za hekima na zisizo za hekima kutoka kwa wafuasi wa CDM zitaweza kuwabadili akina Makinda waanze kufikiri na kutenda kwa mujibu wa maono yako. Hofu yangu hii approach inaweza kuwafanya wawe na kiburi kwani nao watapata watakaowaunga mkono kwa kuamini wapendwa wao wanasakamwa bure. Naamini CDM kuna vichwa ambavyo bado havijawa spoilt kama chako wanaoweza kuja na mikakati mujarabu ya ku-address hicho kinacholalamikiwa kuliko kuhimiza hiki ninachokiona kama mob justice.

CCM siyo watu wakubembelezwa hata kidogo wewe, yaani ni sawa kutafuta urafiki na fisi akulindie butcher. Nyie ndo wale tunaowaita comformist! Mnataka kucomform kwenye kila situations, hata na fisi. Utaliwa wewe, butcher lako, nyumba yako na vijimifugo kama unavyo.
 
Back
Top Bottom