Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?


Wewe kwa vile si mwanachama ndio maana huna. Wanachama wote wanajua namna ya kuwasiliana na viongozi wao bila ya URASIMU

nani kakuambia kuwa mimi siyo mwanachama? au kwa sababu nimemkosoa slaa? sidhani kama unasema kweli kuwa kila mwanachama ana simu za viongozi. acha uongo wa mchana ndugu yangu!
 
Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!
Siyo bure, wewe umeshiba makande ya Kijani
 
Mkuu hata kwenye website ya Bunge namba hizo zipo, na kila mbunge namba zake za simu zipo kwenye website ya bunge

Ni kweli kuna official number registered lakini sio number zaidi ya moja ikiwa na maana zingine ni PRIVATE.
 
Hata ukitembelea mtandao wa bunge namba hizo zipo sasa chaajabu nini?

Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!
 
mwakidodo jaribu kuwa critical makinda na ndugai wamechemkaa sana hawa fai kwa maendeleo ya taifa
 
Nimeshangazwa sana jana na kitendo cha baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliohutubia katika mkutano wao wa Temeke kuweka hadharani namba za simu za waheshimiwa Anne Makinda na Job Ndugai.

Pamoja na kutoa namba hizo wamewataka wafuasi wao kuwapigia waheshimiwa hao au kuwatumia sms za kuwalaani kwa "kuonea wabunge wa upinzani bungeni" halafu eti wanawaambia wasitukane katika simu na sms watakazotuma kwa vile simu zao zimesajiriwa hivyo wakitukana watakamatwa.

Hili jambo linaonyesha kiwango cha juu kabisa cha irresponsibility waliyonayo viongozi wa CHADEMA kwao matusi si tatizo bali tatizo ni kuwa namba zimesajiriwa hivyo wakitukana watajulikana na kukamatwa. Tukirejea kwenye hili la kutoa namba ya simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake, wajuzi wa sheria wanisaidie ni halali kweli kufanya hivyo?

TCRA mnasemaje hakuna kipengere cha privacy clause katika matumizi ya simu za mkononi chenye lengo la kumlinda mtumiaji wa simu dhidi ya kero na vitendo vingine vya kihuni anavyoweza kufanyiwa kupitia simu yake ya mkononi?

Kimsingi walichofanya viongozi wa CHADEMA jana ni kuwaagiza wafuasi wao wawabughudhi ikiwa pamoja na kuwatukana viongozi hao wawili wa muhimili muhimu wa bunge. Please CDM leaders come to your senses!

Mkuu hii iko kwemye website ya Bunge! hebu angalia hapa chini
[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1268.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Anne[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Semamba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Makinda[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Njombe Kusini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 941,Dodoma[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 754 465226/+255 784 465226[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]amakinda@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]26 July 1949[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Institute of Finance Management -Dar Es Salaam[/TD]
[TD="align: center"]Pre CPA Course[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Institute of Development & Management (IDM) -Mzumbe Morogoro[/TD]
[TD="align: center"]Accountancy[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilakala Girls' High School - Morogoro[/TD]
[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Masasi Girls' Secondary School - Mtwara[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1965[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Uwemba Primary School Njombe/Peramiho Girls School Ruvuma[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1957[/TD]
[TD="align: center"]1964[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Board of Directors Of Tanzania Tea Board[/TD]
[TD]Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Board of Directors Of Tanzania Property and Business Formalization Programme[/TD]
[TD]Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Co-operative Audit and Supervision Corporation (COASCO)[/TD]
[TD]Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD]Regional Commissioner[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Community Development, Gender and Children Affairs[/TD]
[TD]Minister[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]State,Prime Minister's & First Vice President Office[/TD]
[TD]Coordination of Union Matters[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]State,Prime Minister's & First Vice President Office[/TD]
[TD]In charge of Central Government Coordination[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Government[/TD]
[TD]In charge of Information and Broadcasting[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]State(Prime Minister's Office)[/TD]
[TD]Minister[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Surveyors Building Contractors Consultants[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1978[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Legal Corporation[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Textile Company[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Textile Company Ltd[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Public Accounts Committee of the Parliament[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Elimu Supplies Company Ltd.[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Railways Corporation Ltd[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]National Bank of Commerce[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Audit Corporation[/TD]
[TD]Auditor[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Electric Supply Company Ltd[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanganyika Legal Corporation[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Institute of Development Management-Mzumbe[/TD]
[TD]Board Member[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Speaker[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]To date[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bostswana Elections[/TD]
[TD]Led Delegation of SADC Parliamentarians Observer[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SADC Parliamentary Forum[/TD]
[TD]Deputy Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]In Botswana,Malawi ,Mozambique and Zambia[/TD]
[TD]Led SADC Women Parliamentarins Advocacy Mission to Lobby for the Increase of Women representation to 30 % In their respective Parliament[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Deputy Speaker.[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SADC Parliamentary Forum[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Parliamentary Environmental,Tourism and Natural Resources Committe[/TD]
[TD]Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania Women Parliamentary Group (TWPG)[/TD]
[TD]Chairperson[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Parliament Of Tanzania[/TD]
[TD]Presiding Officer[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Executive Board Of UNICEF[/TD]
[TD]President[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]Member of National Executive Council[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANU/CCM-Chama Cha Mapinduzi[/TD]
[TD]Ten Cells Leader[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Parliament Of Tanzania[/TD]
[TD]Member of Parliament representing the Youth[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANU[/TD]
[TD]Chairman -Youth League-IDM, Mzumbe[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANU[/TD]
[TD]Chairman -Youth League-Kilakala[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANU[/TD]
[TD]Chairman of Youth League[/TD]
[TD="align: center"]1965[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]SPECIAL SKILLS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Skill Name or Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Years Experience[/TH]
[TH="class: text_menu"]Acquired Through[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]JKT[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Mafinga/Oljoro[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Administration[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Dublin-Ireland[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Management[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]CapeTown-South Africa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]Harare-Zimbambwe[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Unaumwa ndugu gamba wewe kwa hiyo umekosa kusikiliza hoja za msingi ukaona hiyo ndio hoja ya kubeba KIMBA kweli wee!
 
Halafu mkuu mbona jazba nyingi hivyo? mimi nilichoongelea ni hiyo busara ya kutoa namba za watu hadharani na kuwaagiza watu wazitumie kuwatumia sms wahusika.

Una uhakika gani kama wote waliopata namba hizo watazitumia kulingana na lengo kusudiwa? Hudhani kuwa miongoni mwa waliozipata namba hizo wapo wanaofikiri kwa kuongozwa na viroba kama wewe ambaye unathubutu kuniita mjomba wako mwanamama?

Sina ukaribu wala mawasiliano yoyote na waheshimiwa hao lakini sihitaji kuwa mrithi wa almaruhum sheikh yahya kutabiri kuwa zaidi ya 60% ya smswalizokwisha pokea na watakazopokea zitakuwa za matusi. Hoja kwamba namba zao zipo kwenye website ya bunge haina mashiko kwani tunachojadili hapa ni namba hizo kufanyiwa promotion bila ridhaa ya wahusika si sahihi. Wake up lilefu vee!!
Watu wengine ama kweli mnashangaza! hivi kuna matusi zaidi ya jina unalolitumia hapa?
 
inaonekana uwezo wako mdogo wa kufikiri

Mtu kaomba ushauri wa kisheria na hata ajapeleka lawama moja kwa moja ww unadai uwezo wake mdogo wa kufikiri!!!!! Ww ndo unamatatizo!!!

Jaman mtu anapoomba ushauri wa kisheria tumsaidie si kumtukana!!!

Tupia kapuni upenzi wako wa siasi weka taaluma mbele!!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hii aproach yenu ya kutoa namba za simu za spika na naibu wake hadharani bila ridhaa yao, halafu mnaagiza wapambe wenu wawatukane na kuwashinikiza matwakwa yenu si kitendo cha kiungwana bali ni cha kihuni, kumbukeni hz ni namba zao binafsi na si za ofisi,
nyie mliochukua namba bora mkaacha mara moja kuwatukana waheshimiwa hawa
 
Wewe mwenyewe K*M*....kama hao wenzio akina madam na mwenzake.
 
Masikini wangu, Shule za Kata hizi, yaani madhara ya shule za kata ndo yalisha anza na yanaendelea kuonekana, Kazi ipo katika nchi hii. Shule za kata mnafundishwa komputa kwenye picha na mnacholewa ubaoni, Internet ndo kabisa, website ni nahau, Internet cafe ni kitenda wili,
 
Hawajaambiwa kuwatukana wamewaagiza wawatumie ujumbe wa kuachia ngazi na pia kumbuka kunavyeo unapokuwa nacho wewe ni zaidi ya mtu binafsi kwani cheo hicho kinafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu na ustawi wa jamii kwa jumla so sio vizuri ukaangaliwa tu. nimeipenda hatua hii maana hakuna hatua nyingine mbadala ni hii tu na haya mambo ya oooh ustaarabu ndio vimetufikisha hapa tulipo.

Hongera Mh Zitto na Chadema kwa Ujumla.
 
Hii aproach yenu ya
kutoa namba za simu za spika na naibu wake hadharani bila ridhaa yao,
halafu mnaagiza wapambe wenu wawatukane na kuwashinikiza matwakwa yenu
si kitendo cha kiungwana bali ni cha kihuni, kumbukeni hz ni namba zao
binafsi na si za ofisi,
nyie mliochukua namba bora mkaacha mara moja kuwatukana waheshimiwa
hawa

mh makubwa! ;-)
 
Hawajaambiwa kuwatukana wamewaagiza wawatumie ujumbe wa kuachia ngazi na pia kumbuka kunavyeo unapokuwa nacho wewe ni zaidi ya mtu binafsi kwani cheo hicho kinafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu na ustawi wa jamii kwa jumla so sio vizuri ukaangaliwa tu. nimeipenda hatua hii maana hakuna hatua nyingine mbadala ni hii tu na haya mambo ya oooh ustaarabu ndio vimetufikisha hapa tulipo.

Hongera Mh Zitto na Chadema kwa Ujumla.

mkuu hayo ni madhara ya shule za kata na vyuo vyake, wanashindwa kuelewa kwamba hizo si namba za makinda bali ni za Spika wa Bunge na ni Public,
 
Hata ukitukana sibadili, wala siandikwi usoni, hakuna tusi jipya tukana yote unayojisikia bt jua unafanya revision hakuna tusi jipya

Unatafuta sifa za kijinga eti kisa umeanzishan thread na wewe unampigia demu wako achungulie ulivyo anzisha thread, Hizo namba ni Public, kwani wakina Mwakyembe, Said Mwema na wengineo wanavyo toa namba huwa wanamanisha nini? website ya Bunge kwani ina password? mbona zipo?
 
Sawa yote lakn namba ya semamba na ndugai kuwekwa hewani ili watukanwe sio fair
Masikini wangu, Shule za Kata hizi, yaani madhara ya shule za kata ndo yalisha anza na yanaendelea kuonekana, Kazi ipo katika nchi hii. Shule za kata mnafundishwa komputa kwenye picha na mnacholewa ubaoni, Internet ndo kabisa, website ni nahau, Internet cafe ni kitenda wili,
 
Back
Top Bottom