Tanzania huwa hatusubiri demo, huwa tumpiga Gaidi kabla hajaleta madhara, kama alivyo kuwa anapanga Mbowe na genge lake la kihuni.Kuna vitu vinachekesha sana. Hivi “terrorists” mnawajua nyie? The day Al Shabab wakitia team na kutoa demo moja tu nadhani ndio tutaelewa.
Kongamano jumanneWakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Aisee buza ndio mwanza?Maisha haya.... Mwanza leo wanapelekewa kongamano la katiba!...Nipo Mwanza.wenyewe wanamuona Mbowe ni msaliti kwa kumchongea Sabaya. Tena wamefurahi wanasemaje dawa ya Moto Ni moto. Mbowe abadilishe tactics za confrontation.
Mama amechukua point......tena za bure kwa wana wa kulinda Legacy.
Anaendelea kuupiga mwingi..
We ni lijinga sana huna akili ndio shida ya nyie mijitu,hata common sense hakuna vichwa vyenu kama paipai you can't think criticalyMaisha haya.... Mwanza leo wanapelekewa kongamano la katiba!...Nipo Mwanza.wenyewe wanamuona Mbowe ni msaliti kwa kumchongea Sabaya. Tena wamefurahi wanasemaje dawa ya Moto Ni moto. Mbowe abadilishe tactics za confrontation.
Mama amechukua point......tena za bure kwa wana wa kulinda Legacy.
Anaendelea kuupiga mwingi..
Daah kwann hawa magaidi wameachiwa.?
Au tayari wameshabanwa na plaiz wamesema yote waliyopanga kufanya.?
Gaidi mkuu ataachiwa atakapotamka maji mma
Sawa Mrs LusungoNikupe ushauri usiwe mshamba wa mitandao… hivi vitu siku moja vitakugharimu binti mbaga
Tunataka katiba mpya full stop.Wakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Sabaya na Makonda utawaita akina nani?Magaidi hayo hayapaswi kuachiwa
Ila fresh yule gaidi mbowe si bado yupo? Yule ndio kiongozi aminywe vizuri
Kijana usiwe na roho mbaya kiasi hicho.Ukweli ni kwamba hizo ni kesi za kisiasa tu hazina maana yoyote Ile.Daah kwann hawa magaidi wameachiwa.?
Au tayari wameshabanwa na plaiz wamesema yote waliyopanga kufanya.?
Gaidi mkuu ataachiwa atakapotamka maji mma
Punguza chuki pia kumbuka hizi ni kesi za kubambikia tu.Magaidi hayo hayapaswi kuachiwa
Ila fresh yule gaidi mbowe si bado yupo? Yule ndio kiongozi aminywe vizuri
Hizi ni laana kwenye nchi,Kuumiza watu ambao sio wahalifu ni unyama mkubwa Sana.Cheki Sasa ivi nchi Ina tatizo la Uchumi badala ya viongozi kuja na mikakati ya kuongeza uzalishaji ili tuinue uchumi wetu wao wanahangaika na siasa za kijinga .Kwa Hili basi hatutafika popote.Walikosa pozi la kuendelea kuwashikilia! Maana 'gaidi' wao waliyemtafuta kwa miaka mingi, walishamkamata!
Ila polisi wa nchi hii wanapenda sana kujidhalilisha!! Rushwa wao! Kuumiza na kuwajeruhi wapinzani, wao! kuua watuhumiwa, wao! Kubambikia watu kesi, wao!! Kuwatumikia ccm, wao!
Jeshi la ajabu kabisa hili!
Chukua hapo mlipoiweka full stopTunataka katiba mpya full stop.
Mwenyewe ahahahahahKonamano jumanne