Mkutano wa CHADEMA: Pambalu aomba waliokamatwa kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru kuendelea na kazi zao CHADEMA

kalacha mateo

Senior Member
Sep 27, 2021
118
237
CHADEMA leo imeanza mikutano yake ya hadhara jijini Mwanza. Miongoni mwa viongozi waliopewa nafasi kuzungumza ni Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu ameomba mwenyekiti wa chama hiko apeleke hoja kwa Mhe. Rais Samia Suluhu kuwa waliokamata kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru waendelee na kazi zao CHADEMA.

 
CHADEMA leo imeanza mikutano yake ya hadhara jijini Mwanza. Miongoni mwa viongozi waliopewa nafasi kuzungumza ni Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu ameomba mwenyekiti wa chama hiko apeleke hoja kwa Mhe. Rais Samia Suluhu kuwa waliokamata kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru waendelee na kazi zao CHADEMA.

View attachment 2490277
Masikio yako yanasikia vizuri kweli?
 
Hao hao ndo wanataka katiba mpya? China ukikamatwa unanyongwa. Huku waachiwe? Bora angesema haki itendeke kuliko kusema waachiwe! Ebo! Chadema hawaoni madawa yanavyoleta athari kwa Taifa letu? Kwahiyo wakipewa ridhaa ya kuongoza serikali watafungilia wauza unga wote waliowekwa ndani? Makubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao hao ndo wanataka katiba mpya? China ukikamatwa unanyongwa. Huku waachiwe? Bora angesema haki itendeke kuliko kusema waachiwe! Ebo! Chadema hawaoni madawa yanavyoleta athari kwa Taifa letu? Kwahiyo wakipewa ridhaa ya kuongoza serikali watafungilia wauza unga wote waliowekwa ndani? Makubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kesi za kubambikiwa. Umesahau mdude alikamatwa na madawa ya kutegeshewa.
 
Ajielezee vizuri, kuna kesi za kisiasa na kesi zingine za kuiba kupola kunyang’anya kubaka nk

Kwanni madawa ya kulevya? Kuna nini ktk madawa...

Umesahau kesi ya mdude CHADEMA. Ilikuwa ya madwa ya kulevya. Kesi ya kubambikiwa
 
Wanaingilia mahakama?

Mahakama zipi zinaiingiliwa? Watu wamebambikiwa kesi ya madawa unataka tufanyeje. Huoni kila siku wanachadema wanashindana Rufaa kutokana na uonevu. Kuna watu walifungwa Maisha wameachiwa juzi.
 
Back
Top Bottom