nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Tanzania siyo nchi ya kidemokrasiaBora wameachiliwa, kuna vitu sio vya kuwekana mahabusu kwenye nchi za kidemokrasia
Tanzania siyo nchi ya kidemokrasiaBora wameachiliwa, kuna vitu sio vya kuwekana mahabusu kwenye nchi za kidemokrasia
Punguza munkari kamanda utapasuka bure. Hata ukitukana watu haisaidii, mwenyekiti bado ataendelea kunyea kwenye ndoo. Take it easy bwasheeKama kungelikuwa na sheria inayosema ukiwa nje ya ccm hutakiwi kubisha kwa kinachoamuliwa kule, kwamba ukibisha basi wewe nigaidi, watu wenye akili kama zako msingeruhusiwa hata kufungua madomo. Ilikuwa ukipiga mwayo kabla hujatoa hicho kinyesi mdomoni, unakula shaba. Pumbavu sana jitu kama wewe.
Kilichowapata polisi ni kama yaliyotokea wakati wa ujenzi wa mnara wa Babeli.WALIOACHIWA KWA UPANDE WA MWANZA NI:-
(1). John Heche.
(2). Zakaria Obard.
(3). Stephen Odipo.
(4). Daud Zephaniah.
(5). Seti Benda.
(6). David Nyakimwe.
(7). Frank Novarth.
(8). Mbutosyo Mwakihaba.
Ila Mhe. John Heche yuko Hospital, Mwanza.
Zaidi, soma: Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani
Polish wanatumwaWalikosa pozi la kuendelea kuwashikilia! Maana 'gaidi' wao waliyemtafuta kwa miaka mingi, walishamkamata!
Ila polisi wa nchi hii wanapenda sana kujidhalilisha!! Rushwa wao! Kuumiza na kuwajeruhi wapinzani, wao! kuua watuhumiwa, wao! Kubambikia watu kesi, wao!! Kuwatumikia ccm, wao!
Jeshi la ajabu kabisa hili!
Hilo wataacha tu siku mkiamua kutuletea katiba mpya.Wakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Hawabishii kila kitu,wanadai kitu kimoja tu Katiba mpya,tatizo yaliyopo Madarakani ni majiziWakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Duh kwa akili hizi nchi ina safari ndefu sana.!Wakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Mataga mmefanikiwa sana, mmemuharibia sana bi, Chokochoko kwa hii legacy ya Mwendawazimu. Na lilivyo ZIMBUKUKU limekubali kuambukizwa UKICHAA. Ndio basi tena.Mama amechukua point......tena za bure kwa wana wa kulinda Legacy.
Wakiswekwa tena ndani unafaidika vipi?Wakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Hapana sijaenda.Ulienda kuwaona mkuu?
Uviko!Heche is sickening?
HakikaWakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu