Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Habari za jumapili!
Leo nimebahatika kuusikia wimbo wa mwanadada mmoja ambaye nimemfahamu kupitia wimbo huo.
"Mnatuona Nyani" ndio jina la wimbo huo.
Huyo dada amelalama, amelalamika, ametoa dukuduku lake, ametoa yamoyoni mwake, ametoa yanayomsibu, ametoa mtazamo wake dhidi ya wale wanaomkashfu, wale wanaomtazama kama Nyani, wanaomfanyia kama Nyani.
Aaaa! Dada wa Watu Kalia. Dada wawatu kagaragara.
Hao viongozi waliomuona huyu Dada kuwa ni Nyani NI kina Nani?
Wimbo ule ulinitia huzuni, nilijikuta na ng'ata Meno, agriii! Mpaka mwisho sikusikia jina la kiongozi yeyote aliyetajwa.
Nilitaka kuwajua hao viongozi wanaomuona huyo Dada wawatu kuwa ni Nyani. Hao viongozi washughulikiwe.
Baadaye tena nasikia amekamatwa. Jamani! Embu Polisi twendeni polepole. Dada wawatu analalama, anahitaji msaada, anatoa mtazamo wake, Mbaya zaidi hakuna aliyekuwa anamjua, hata Mimi Taikon Master sikuwa namjua.
Msikilizeni, tendeni mambo Kwa utulivu, Hekima na Busara.
Hii nchi inawatu tofauti, wengine wanaona wanaonekana Nyani na watu wengine. Wengine wanawaona Nyani wengine bila ya wao kujua au Kwa kujua kupitia Matendo Yao, maneno Yao, mitazamo Yao n.k.
Nataka kujua ni viongozi gani hao waliomuona huyo Dada na waimbaji wenzake kuwa ni Nyani?
Mmemkamata ili kumsaidia awatajie hao viongozi Mtakuwa mmefanya vyema. Lakini kama ni vinginevyo mtakuwa hamtendi HAKI.
Leo nimebahatika kuusikia wimbo wa mwanadada mmoja ambaye nimemfahamu kupitia wimbo huo.
"Mnatuona Nyani" ndio jina la wimbo huo.
Huyo dada amelalama, amelalamika, ametoa dukuduku lake, ametoa yamoyoni mwake, ametoa yanayomsibu, ametoa mtazamo wake dhidi ya wale wanaomkashfu, wale wanaomtazama kama Nyani, wanaomfanyia kama Nyani.
Aaaa! Dada wa Watu Kalia. Dada wawatu kagaragara.
Hao viongozi waliomuona huyu Dada kuwa ni Nyani NI kina Nani?
Wimbo ule ulinitia huzuni, nilijikuta na ng'ata Meno, agriii! Mpaka mwisho sikusikia jina la kiongozi yeyote aliyetajwa.
Nilitaka kuwajua hao viongozi wanaomuona huyo Dada wawatu kuwa ni Nyani. Hao viongozi washughulikiwe.
Baadaye tena nasikia amekamatwa. Jamani! Embu Polisi twendeni polepole. Dada wawatu analalama, anahitaji msaada, anatoa mtazamo wake, Mbaya zaidi hakuna aliyekuwa anamjua, hata Mimi Taikon Master sikuwa namjua.
Msikilizeni, tendeni mambo Kwa utulivu, Hekima na Busara.
Hii nchi inawatu tofauti, wengine wanaona wanaonekana Nyani na watu wengine. Wengine wanawaona Nyani wengine bila ya wao kujua au Kwa kujua kupitia Matendo Yao, maneno Yao, mitazamo Yao n.k.
Nataka kujua ni viongozi gani hao waliomuona huyo Dada na waimbaji wenzake kuwa ni Nyani?
Mmemkamata ili kumsaidia awatajie hao viongozi Mtakuwa mmefanya vyema. Lakini kama ni vinginevyo mtakuwa hamtendi HAKI.