LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Viongozi tajwa hapo juu wa CDM Mkoani Mwanza wilaya ya Nyanza wameripotiwa kurudisha kadi zao ya uanachama.
Wamerudisha kadi zao baada ya chichiem kufanya mkutano wa hadhara ktk wilaya ya Nyanza na ndipo mafisadi wakawarubuni wanaCDM hao na kurudisha kadi ya chama na kupewa ya chichiem.
Mgeni rasmi ktk mkutano hiyo ni waziri wa nishati na madini William Ngeleja.
Nini itatokea hapo? Kama siyo wamegawiwa kodi zetu na huyu fisadi wa mafisadi?
Source: RFA!
Wamerudisha kadi zao baada ya chichiem kufanya mkutano wa hadhara ktk wilaya ya Nyanza na ndipo mafisadi wakawarubuni wanaCDM hao na kurudisha kadi ya chama na kupewa ya chichiem.
Mgeni rasmi ktk mkutano hiyo ni waziri wa nishati na madini William Ngeleja.
Nini itatokea hapo? Kama siyo wamegawiwa kodi zetu na huyu fisadi wa mafisadi?
Source: RFA!