LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #41
Wakuu JF sio sehemu ya porojo kama mtu huna data au facts zozote usimwage pumba humu JF...
Hizi ni pumba kwa kuwa zimemwagwa na Pro-chadema watu wanashindwa kuhoji..
Chadema Mwanza, wameshinda Wilaya tatu Ukerewe, Ilemela, Nyamagana.
Sasa hii Wilaya ya Nyanza Mbunge wake ni nani?
Kama Nyanza ni Tafara hbr ndiyo hiyo na ujue source nimetanguliza ya kwmb ni Radio Free Africa.(RFA)
Sijaenda tofauti na chombo cha hbr tajwa hapo juu!
Maneno mingi utafikiri umempote za umjuae!