Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Duh! Chadema kwishney
Dua la kuku hili eee?:juggle:
Duh! Chadema kwishney
Viongozi tajwa hapo juu wa CDM Mkoani Mwanza wilaya ya Nyanza wameripotiwa kurudisha kadi zao ya uanachama.
Wamerudisha kadi zao baada ya chichiem kufanya mkutano wa hadhara ktk wilaya ya Nyanza na ndipo mafisadi wakawarubuni wanaCDM hao na kurudisha kadi ya chama na kupewa ya chichiem.
Mgeni rasmi ktk mkutano hiyo ni waziri wa nishati na madini William Ngeleja.
Nini itatokea hapo? Kama siyo wamegawiwa kodi zetu na huyu fisadi wa mafisadi?
Source: RFA!
Kwanza wana Jamii lazima mjue kuwa CCM imepoteza umaarufu sana Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla. Hivyo Ngeleja anachokifanya ni kujipendekeza kwa mgombea Urais wa CCM 2015 pamoja na halmashauri nzima ya NEC ili aonekane ana nguvu kule kanda ya ziwa, ili kwa lolote litakalo tokea huko mbele ya safari aonekane ni potential person pale Mwanza. Hii ni pamoja na kujifahamu/kuelewa kuwa ktk utendaji ndani ya wizara hana lolote au hajiamini, kapoteza kabisa umaarufu.[/QUhiyo ni kweli kabisa mkuu.mr megawatt anatafuta nafasi kwa mgombea urais wa 2015 kwani anajua kabisa kwamba kiutendaji wa kazi za kiserikali hakuwezi kumfanya awe karibu na mgombea wa 2015 kwani ataonekana kuwa na ushawishi mkubwa kisiasa au kichichiem huko mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla.
Gazeti Moja leo limesema Ngeleja alikuwa hapokei simu ili athibitishe vigogo gani wa Chadema Sengerema amewasambaratisha ha ha ha hana jeuri jamaa jizi limekubuhu anadhani anaweza kuwajairo wana Sengerema
Muulize muanzisha hii thead Nyanza ni nini?Kwani Wenje ni Mbunge wa Nyanza???
Ni pigo kubwa kwa Wenje!
how kwisheney? that is truely definition of politics brother ka hujui, hiyo ndo si hasa!huyo aliyejoin ccm unaweza kumkuta the day next anajoin cdm, so how kwisheney!Duh! Chadema kwishney