WASANII KILIMANJARO WAVUTIWA NA UTEUZI WA JOKATE MWEGELO UWT, WARUDISHA KADI ZA UPINZANI
Wasanii Kutoka Mkoa wa Kilimanjaro wahamasika na Uteuzi wa Katibu Wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Jokate Mwegelo na Wajiunga na CCM warudisha Kadi za vyama vya Upinzani hayo yamefanyika katika Maadhimisho ya wiki ya UWT mwezi Oktoba, 2023.
Wasanii hao walikabidhiwa Kadi za Uanachama na Mwenyekiti wa UWT wilayani Moshi Vijijini Ndg. Ruwaicha Kaale.
Wasanii Kutoka Mkoa wa Kilimanjaro wahamasika na Uteuzi wa Katibu Wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Jokate Mwegelo na Wajiunga na CCM warudisha Kadi za vyama vya Upinzani hayo yamefanyika katika Maadhimisho ya wiki ya UWT mwezi Oktoba, 2023.
Wasanii hao walikabidhiwa Kadi za Uanachama na Mwenyekiti wa UWT wilayani Moshi Vijijini Ndg. Ruwaicha Kaale.