A
Anonymous
Guest
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Tabora, Wilaya ya Kaliua, kero yetu huku ni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuchelewa kutoa kadi za Uanachama baada ya kutuma maombi.
Inauma na inakera kwani huchukua mpaka miezi 6 unapoomba uanachama ndiyo unapewa kadi huku makato yakiwa yanaendelea hasa kwa sisi Watumishi wa Serikali.
Hii imesababisha kupata changamoto na usumbufu wa kimatibabu na husababisha kukosa huduma ya matibabu pindi unapougua.
Pia soma:
1. Nimelipia Bima ya Afya NHIF Mwanza, nazungushwa kupata kadi. Kibali cha matibabu pia hawanipi
2. NHIF: Mfumo wa uwasilishaji wa kadi kwa watumishi kupitia halmashauri ni changamoto (JIBU)
Inauma na inakera kwani huchukua mpaka miezi 6 unapoomba uanachama ndiyo unapewa kadi huku makato yakiwa yanaendelea hasa kwa sisi Watumishi wa Serikali.
Hii imesababisha kupata changamoto na usumbufu wa kimatibabu na husababisha kukosa huduma ya matibabu pindi unapougua.
Pia soma:
1. Nimelipia Bima ya Afya NHIF Mwanza, nazungushwa kupata kadi. Kibali cha matibabu pia hawanipi
2. NHIF: Mfumo wa uwasilishaji wa kadi kwa watumishi kupitia halmashauri ni changamoto (JIBU)