LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #61
Liverpool,
Hii taarifa unayopitoa hapa ni imekwisha tokea Sengerema, tarafa au kata ya Nyanza na hao wanaozugmizwa ni idadi ya viongozi pamoja na wanachama.. Kwa hiyo kubali kusahihishwa haina noma kaka!... Tunajua habari hii sio ya uongo isipokuwa umekosea wilaya ilipotokea...
Thankx Best! Humu ndani kuna watumwa wa chichiem tena sana tu! Nami nimeshatoa source ya thread inatokea wapi.
Lakini hawataki kunielewa.
Lakini nimewaambia ukweli na asietaka kuielewa somo lilivyo nakwambia ni juu yake na aliyenielewa ni dhahiri ndio wetu huyo Best.
Cjaenda tofauti na mrusha hili radio free africa.!
Sasa Mi nimeshangaa kuona comment ikiwa kedekede Best!
Ila Mi ujumbe nimeufikisha kama nilivyoipokea!