Irenga
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 2,414
- 1,614
Wa kwangu Mwaka 1.7 hampendi Kunguru akimuona tu lazima amponde kwa mawe, Akilala usiku alafu Mvua akiwa inanyesha anaanza kulia "Mama Kunguru anakuja, Baba Kunguru anakuja" basi atalia weee mpaka Mvua iishe ndio analala! Najiuliza Hivi Kunguru alimfanya nini?mpaka leo sijapata jibu!
Alikuwa hafahamu kutamka vizuri neno Kikombe alikuwa anatamka "Kitombe"
Hapendi Ugali, Ukipika Ugali unaula mwenyewe. Yeye mpe wali hata kama ni kidogo kwake ni sawa tu!
Alikuwa hafahamu kutamka vizuri neno Kikombe alikuwa anatamka "Kitombe"
Hapendi Ugali, Ukipika Ugali unaula mwenyewe. Yeye mpe wali hata kama ni kidogo kwake ni sawa tu!