Anotherperson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 594
- 650
Wakwangu 4 yrs aliniambia nimtafutie cha kwake nae ashike akojoe akiwa amesimama kama wenzie
Hongereni wenye watoto
ItapendezaWaonaje.naasisi tukamsaka wetu.....msimu huu wa mwisho wa mwaka
Mi la kwangu lina miaka 30. Juzi limeniletea binti wa 6 mwenye ujauzito wake. Mzee mzima nakaribia kupata mjukuu wa sita toka kwa mabinti sita tofauti.Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.
Tatizo jiwe anatisha na ile solar panel mmmh!!!!Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.
Hongera umekuza/lea!Mi la kwangu lina miaka 30. Juzi limeniletea binti wa 6 mwenye ujauzito wake. Mzee mzima nakaribia kupata mjukuu wa sita toka kwa mabinti sita tofauti.
Yule sidhan kama atapataKuwa na mtoto raha. No wonder Tanganyika Sweetheart anaishia stress tu
Kwa michezo ile mimba itakaa wapi?Yule sidhan kama atapata
Jf kiboko. Kikombe anasemaa ???Wa kwangu Mwaka 1.7 hampendi Kunguru akimuona tu lazima amponde kwa mawe, Akilala usiku alafu Mvua akiwa inanyesha anaanza kulia "Mama Kunguru anakuja, Baba Kunguru anakuja" basi atalia weee mpaka Mvua iishe ndio analala! Najiuliza Hivi Kunguru alimfanya nini?mpaka leo sijapata jibu!
Alikuwa hafahamu kutamka vizuri neno Kikombe alikuwa anatamka "Kitombe"
Hapendi Ugali, Ukipika Ugali unaula mwenyewe. Yeye mpe wali hata kama ni kidogo kwake ni sawa tu!
Naamini mkuu Kiranga angekusaidia kumjibu.Wakwangu anamiaka 4 juzi kaniuliza baba nani kamzaa shetani
Acha ujuaji Mkuu, anatamka kwa Shida kama vile Mbongo kufipisha Majina ya Waafrika kusini kama Ntombenela!😂😂Jf kiboko. Kikombe anasemaa ???
Kwenye sweetheart bagKwa michezo ile mimba itakaa wapi?
wale tusio na watoto hebu tubane kwa pembeni hapa kuona wenzetu wanavyo-enjoy maisha kufurahi na watoto