Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
Huu mchezo wa kukabili hoja kwa matusi utaacha lini?
Nimekuuliza kwa sababu unaongea mambo kama idiot. Unauliza serikali ya awamu ya nne imefanya nini kwenye kilimo? either wewe ni idiot au hauna touch kabisa na kilimo, ndio maana nimekuuliza wewe ni mkulima? Sasa jijibu mwenyewe kundi lipi kati ya hayo mawili linakufaa...