Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,327
- 6,850
kwa afrika uwenda ikawa yeye kuna kitu kafanya kuliko wenzake wote, mana viongozi wote wa africa ni walewale tu, mdomo mbele! labda yeye angalau wameona kaingiza matrekta mengi bandarini kwake, mana kuna nchi zingine za afrika hata mua hawalimi wanauza mapaka fisi! huwezi jua wametumia kigezo gani bana! watu wanalima sukari mpaka wanaziuza nje,so wanajua jamaa analima sana, mahindi mpaka yanabebwa na magari ya jeshi kwa mwambungu bana. kilimo kiko poa tu bongo, sema misingi na masahi kwa kuwawezesha wakulima hasa wadogo ndo bado sana, hapo ndo mistake ilipo kubwa! ili upate jibu zuri jaribu kulinganisha na nchi za africa wala hata usiende nchi za mbali nenda jirani zetu tu hapo, ndo utajua je jamaa kastahiki kwa hiki au lah! yangu ni hayo tu
Mzee Marx acha utani, ..., yaani hapo kwenye red umenichekeshi kweli! Be serious, una uhakika? Kama nchi gani? Yaani wakose hata swala wauze fisi?