The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,959
- 117,332
Umeniambia ukiwa kama nani? Mchambuzi au mtabiri? Kama mchambuzi weka hapa uchambuzi wako ili ku support your claim, Kwahiyo wewe ukiniambia ni lazima mimi nikubaliane na wewe?Nimemwambia hawafiki round of 32.
Halafu kumbe hiyo ni ID yako pia? Coz aliyesema hawafiki round 32 sio wewe,naona umejisahau ukachanganya ID zako zote mbili kujadili hapa.