Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
- Thread starter
- #81
Kwa hiyo mkuu wewe unataka wachezaji wasifunge hovyo ila unataka burudani tu?Tatizo siku hizi dunia imeegemea kwenye takwimu kwenye mpira badala ya burudani. Mpira kwa sasa umeharibiwa sana na hizi takwimu pamoja na kamari. Kizazi cha kina De Lima, Ronaldinho, Zidane, Diego Forlan, Fernado Morientes na kina Hernan Crespo kilichokuwa kinatoa burudani kimepotea kabisa. Watu kwenye pitch ni kukimbia tu na mpira ili kufunga.. hata marefa walishawahi kusema wachezaji kwa sasa wanakimbia balaa.